Tafuta Vidonge vinaitwa Bisacodyl yani faster tu...!! Castor oil nayo ipo poa sema inaleta kichefu chefu sana pia Effect yake ni nomaaa yanii kuhara sio kuharaaa balaaa
Hapa nimeona matatizo 2.Salaam wakuu,
Hivi kuna dawa yoyote ya kusafisha tumbo/ kusababisha kuharisha? Jirani yangu ameniomba nimshauri lkn nikatoka kapa, anadai anapata choo kwa taabu sana, nimemshauri anywe magnesium ila sina hakika kama zinasaidia. Masaada tafadhali. Nia anataka dawa itakayomsaidia kuharisha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app