mbongombishi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 588
- 291
Habarini wandugu.
Naomba kujulishwa dawa ya alergy ya vumbi (kupiga chafya sana kutokana na vumbi au harufu kali) ni nini.
Pia dawa ya kuondoa weusi katikati ya mapaja (ukijikuna unatoka unga unga) ni nini?
Natanguliza shukurani wandugu.
Naomba kujulishwa dawa ya alergy ya vumbi (kupiga chafya sana kutokana na vumbi au harufu kali) ni nini.
Pia dawa ya kuondoa weusi katikati ya mapaja (ukijikuna unatoka unga unga) ni nini?
Natanguliza shukurani wandugu.