Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio dawa ipoMsaada wana jamvi,, naomba anaejua dawa ya kupunguza kuwashwa baada ya kunyoa.
Msaada wana jamvi,, naomba anaejua dawa ya kupunguza kuwashwa baada ya kunyoa.
dawa yake usitumie wembe wakati wa kunyoa hizo sehemu. tumia hair removal cream au spray(maalum kwa kwapani na sehmu kama hizo). kuna hii moja inaitwa AGISS, ukipulizia hiyo baada ya dakika 6 vu.zi unalitoa kwa mkono. ukimaliza sehemu inabaki soft. no muwasho, no mapele!! kazi kwako bi mkubwa.
Una tumia style gani kunyoa vu.zi?para,panki,short cutt au?
Naona umeamua kunichonganisha na Zitto, unadhani utafanikiwa?
Mkuu, haina side effect hii kitu
itakua ni kiduku
side effect ipo iwapo utaitumia vibaya.
side effect ipo iwapo utaitumia vibaya.
Duh aisee kuna watu wana nyoa vu.zi kiduku!
Naomba maelezo kidgo plz
We ni me au Ke, ,,,kama ni Ke pia nunua mafuta ya nazi ya Minara yanauzwa 2500 ukinyoa unapaka kwa bibi,,,kama ni mnene pia paka hayo mafuta katikati ya mapaja yanaposuguana yanasaidia kuondoa weusi na kufanya pang'ae
dawa yake usitumie wembe wakati wa kunyoa hizo sehemu. tumia hair removal cream au spray(maalum kwa kwapani na sehmu kama hizo). kuna hii moja inaitwa AGISS, ukipulizia hiyo baada ya dakika 6 vu.zi unalitoa kwa mkono. ukimaliza sehemu inabaki soft. no muwasho, no mapele!! kazi kwako bi mkubwa.
Msaada wana jamvi,, naomba anaejua dawa ya kupunguza kuwashwa baada ya kunyoa.