Dawa ya kupaka baada ya kunyoa secret part

dawa yake usitumie wembe wakati wa kunyoa hizo sehemu. tumia hair removal cream au spray(maalum kwa kwapani na sehmu kama hizo). kuna hii moja inaitwa AGISS, ukipulizia hiyo baada ya dakika 6 vu.zi unalitoa kwa mkono. ukimaliza sehemu inabaki soft. no muwasho, no mapele!! kazi kwako bi mkubwa.
 
dawa yake usitumie wembe wakati wa kunyoa hizo sehemu. tumia hair removal cream au spray(maalum kwa kwapani na sehmu kama hizo). kuna hii moja inaitwa AGISS, ukipulizia hiyo baada ya dakika 6 vu.zi unalitoa kwa mkono. ukimaliza sehemu inabaki soft. no muwasho, no mapele!! kazi kwako bi mkubwa.

Mkuu, haina side effect hii kitu
 
Nasikia wembe unafanya nanilue kuwa ngumu na kupoteza sensitivity.
 
Tumia gillette shaved cream kupaka kabla ya kunyoa ndio inakua povu lako ukimaliza osha hizo sehem kwa kuweka ditto ya maji kidogo sana kwenye maji
 
We ni me au Ke, ,,,kama ni Ke pia nunua mafuta ya nazi ya Minara yanauzwa 2500 ukinyoa unapaka kwa bibi,,,kama ni mnene pia paka hayo mafuta katikati ya mapaja yanaposuguana yanasaidia kuondoa weusi na kufanya pang'ae
 
We ni me au Ke, ,,,kama ni Ke pia nunua mafuta ya nazi ya Minara yanauzwa 2500 ukinyoa unapaka kwa bibi,,,kama ni mnene pia paka hayo mafuta katikati ya mapaja yanaposuguana yanasaidia kuondoa weusi na kufanya pang'ae


Nimekukubali binamu ntamwonyesha wifi yako hii...
 
mmea wa alovera ni dawa nzuri,unalikata kisha unajipaka utovu wake.mara 1 kwisha kabsaa.kama huna jitahd upande.
 
dawa yake usitumie wembe wakati wa kunyoa hizo sehemu. tumia hair removal cream au spray(maalum kwa kwapani na sehmu kama hizo). kuna hii moja inaitwa AGISS, ukipulizia hiyo baada ya dakika 6 vu.zi unalitoa kwa mkono. ukimaliza sehemu inabaki soft. no muwasho, no mapele!! kazi kwako bi mkubwa.

duh!kwel yani hapo kama kuku alienyonyolewa na maji ya moto kipala chake.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom