Hayo maganda ya viazi unayatumia vipi?Mie nakula mayai mabich tangu nipo na 20+mpaka sasa nina30+ nina mvi balaaa...hiyo ni ukoo tu..dawa ni kutumia maganda ya viazi lkn uwe mvumilivu siyo jambo la siku moja
Hayo maganda ya viazi unayatumia vipi?Mie nakula mayai mabich tangu nipo na 20+mpaka sasa nina30+ nina mvi balaaa...hiyo ni ukoo tu..dawa ni kutumia maganda ya viazi lkn uwe mvumilivu siyo jambo la siku moja
Unayachemsha kiasi yakishapoa unaoshea nywele yale maji yake hlf unafunga kichwa kwa nusu saa...nenda utube utaonahayo maganda ya viazi unayatumia vipi?
Mkuuu uondoe upeleke wapi...kubali tu muda umefikaWandugu naombeni dawa ya kuondoa mvi kichwani. Kwani nywele zangu zimejaa mvi. Miaka yangu ni 40+ tu. Kama kuna dawa nipeni.
HAYA NI MAFUTA?Discreet,ipo SH Amon
VIAZI VITAMU AU MVIRINGO?Unayachemsha kiasi yakishapoa unaoshea nywele yale maji yake hlf unafunga kichwa kwa nusu saa...nenda utube utaona
Mviringo...vile vya chipsVIAZI VITAMU AU MVIRINGO?
ASANTEMviringo...vile vya chips
😂😂, basi nami nasema hiiiiiMi nina age sawa na yako naziangalia zaja nasema hii
Mafuta ya vaidaWandugu naombeni dawa ya kuondoa mvi kichwani. Kwani nywele zangu zimejaa mvi. Miaka yangu ni 40+ tu. Kama kuna dawa nipeni.
Yanapatikana wapiMafuta ya vaida
Kikopo kinarangi ya kijani maandishi meusi
miaka 40 mbona ushakuwa mzee, ziache tu kiongozi kama mimi.Wandugu naombeni dawa ya kuondoa mvi kichwani. Kwani nywele zangu zimejaa mvi. Miaka yangu ni 40+ tu. Kama kuna dawa nipeni.
Mvi pambo la uzeeni.miaka 40 mbona ushakuwa mzee, ziache tu kiongozi kama mimi.
watu sijui kwa nini hawazipendi....wakati umri mkubwa kuanzia 60 + hivi ndiyo vitu vya kukufanya ujisikie fahari kubwa maishani kwakoMvi pambo la uzeeni.
Maduka hasa ya kwenye masoko hata kariakooYanapatikana wapi
Sasa matusi ya nini? Au unadhani humu ni FBAseee!! Anza kupaka picco ukishindwa upambane na hali yako choko we!