Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Kama unataka kutoa kitambi nakuhakikishia hilo zoezi halitakupa matokeo yoyote. Hakuna zoezi linaloburn mafuta ya sehemu moja specific kwenye mwili wako
Fanya mazoezi ya cardio haya yanapunguza mafuta mwili mzima na tumboni pia.
Zoezi hilo ya kitairi (roller) linatone tumbo ambalo tayari halina mafuta.
Fanya research. Have a good day

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu zoezi zuri la kupunguza kitambi ni kukimbia walau kilomita 10 kila siku,zingatia mlo kamili hasa matunda na mboga mboga kwa wing na pia kuepuka kabisa vyakula vya mafuta.Zaidi ya hapo epuka vyakula vya barid na kila baada ya mlo wako kunywa glass ya maji ya vuguvugu yenye ndimu nzima ndani yake.Baada ya hapo njoo unishukuru
 
Kama unataka kutoa kitambi nakuhakikishia hilo zoezi halitakupa matokeo yoyote. Hakuna zoezi linaloburn mafuta ya sehemu moja specific kwenye mwili wako
Fanya mazoezi ya cardio haya yanapunguza mafuta mwili mzima na tumboni pia.
Zoezi hilo ya kitairi (roller) linatone tumbo ambalo tayari halina mafuta.
Fanya research. Have a good day

Sent using Jamii Forums mobile app
Cardio ndio yepi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu zoezi zuri la kupunguza kitambi ni kukimbia walau kilomita 10 kila siku,zingatia mlo kamili hasa matunda na mboga mboga kwa wing na pia kuepuka kabisa vyakula vya mafuta.Zaidi ya hapo epuka vyakula vya barid na kila baada ya mlo wako kunywa glass ya maji ya vuguvugu yenye ndimu nzima ndani yake.Baada ya hapo njoo unishukuru
ngoja nianze kaka,ila kilomita kumi per day dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Hapo unapoishi hapana Shule Karibu?

Hebu Tafuta Dogo wa Form III mbebeshe ujauzito halafu baada ya mwezi mmoja angalia kitambi chako kilipofikia.
 
Sahihi... Roller inakaza tumbo na sio kupunguza tumbo.. So ukipiga roller huku unakitambi zaid tu itakusaidia kupunguza rate ya kula koz tumbo linakuw linajibana.. Homework zipo nyingi... Ruka kamba at least hata 1000 per day.. En iwe mfululizo yani ukianz moja usisimame hadi ufike 1000
roller haipunguzi wala kuondoa kitambi....

roller inakuwa effective ikitumiwa na mtu asiye na kitambi


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahihi... Roller inakaza tumbo na sio kupunguza tumbo.. So ukipiga roller huku unakitambi zaid tu itakusaidia kupunguza rate ya kula koz tumbo linakuw linajibana.. Homework zipo nyingi... Ruka kamba at least hata 1000 per day.. En iwe mfululizo yani ukianz moja usisimame hadi ufike 1000

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kweli nimegundua,inakaza misuli ya tumbo

Ngoja nianze ruka kamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi niwe tu mkweli, nina kitambi fulani nataka kukimaliza sasa changamoto ni kuwa lile zoezi la kusukuma kitairi na kukivuta aisee nalichukia sana.

Sasa kila gym au trainer ninayempata lazima atafika hatua tu anakuja na kale katairi...mimi ikifika tu hiyo hatua hapana.

Nakachukia sana kale karingi yaani nikifika gym nikakakuta naweza geuka zangu narudi home.

Hivi hakuna namna naweza kata tumbo bila kutumia kale katairi mateso?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia you tube andika "plunk" utaona mazoezi mepesi tu ya tumbo pia punguza au acha kabisa kula vyakula vya wanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi niwe tu mkweli, nina kitambi fulani nataka kukimaliza sasa changamoto ni kuwa lile zoezi la kusukuma kitairi na kukivuta aisee nalichukia sana.

Sasa kila gym au trainer ninayempata lazima atafika hatua tu anakuja na kale katairi...mimi ikifika tu hiyo hatua hapana.

Nakachukia sana kale karingi yaani nikifika gym nikakakuta naweza geuka zangu narudi home.

Hivi hakuna namna naweza kata tumbo bila kutumia kale katairi mateso?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi nimeacha kula wanga toka February 1 naona mabadiliko makubwa japo napunguza fat mwili mzima sio tumbo tu napunguza na mwili.

Inafanya kazi Sana, nimepungua

Nitanunua na hicho kiroller niwe fit always.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyakula vya wanga

Ugali
Wali
Tambi
Vitumbua
Maandazi
Ndizi
N.k

Sasa wewe unakula nini ndugu,maana Tanzania hii km hujala hivyo unakula nini
Mimi nimeacha kula wanga toka February 1 naona mabadiliko makubwa japo napunguza fat mwili mzima sio tumbo tu napunguza na mwili.

Inafanya kazi Sana, nimepungua

Nitanunua na hicho kiroller niwe fit always.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*MADHARA YA KITAMBI*
ini kuhifadhi sumu na kushindwa kuzalisha nyongo
kisukari ambayo hufanya mwili kukosa nguvu za kukabiliana na magonjwa yanayoushambulia mwili ikiwa ni pamoja na
nguvu za kiume, ukiwa na tatzo hili unaweza kushindwa kumuingilia mkeo au kwenda safari moja tu
mwanamke kupata tabu ya kupata ujauzito kwa sababu wanazalisha homini ya androgen ambayo huzuia kupata siku zake pia hufanya mzunguko wa m,mke kusumbua
magonjwa ya mzunguko wa damu ikihusisha moyo pamoja na mishipa yake ambayo hupelekea kupata PRESHA NA KIHARUSI
cjui kwann mwanaume akipungua kitambi dhakari yake huongezeka nchi moja au zaidi

DAWA YA KUPUNGUZA MWILI NA KITAMBI

TAFUTA UNGA WA MJAIDURU KIJIKO KIMOJA CHA CHAI VURUGA KWENYE MAJI YA UVUGU VUGU NA SI YAMOTO KIKOMBE KIMOJA

KUNYWA KAMA HIVYO KUTWA MARA TATU KWA MUDA WA SIKU 21
KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NASI
what's app /call
+255 655 821 550
Sulayman Sangida

Sent using Jamii Forums mobile app
Go to hell

Kunywa mwenyewe kampe na babu yako na ndugu zako wasiwe na vitambi.

Hakuna dawa inaondoa kitambi zaidi ya kubadili mfumo wa maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa ndugu habarini.
Kijana mwenzenu nasumbuliwa na kitambi kitu kinachonikosesha amani ya roho. Nimefanya jitihada zote ikiwa kujiunga na kufanya mazoezi kwa bidii zote lakini wapi.
Nimenunua kitairi kila asubuhi nikifanyie mazoezi lakini wapi.
Sasa nimekuja kuomba ushauri njia ipi nitumie ili kuondosha hichi kitambi.
Ahsanteni sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom