Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
Wakuu polen na kazi mingi!Ee bwana mimi natafuta dawa ya mtoto mdogo wa umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu ya kumpa apetite.Mimi mwanangu ni mvivu sana wa kula anaweza kukaa siku nzima bila kula kitu chochote.Nilijaribu kumpeleka kwa Dokta kuchek Minyoo wanasema hana minyoo wala nini ila akashauri tuwe tunamlazimishia chakula.
Najua huku jamvini kuna wataalamu waliobobea naombeni msaada wenu wakuu.
Naomba kuwasilisha.
Najua huku jamvini kuna wataalamu waliobobea naombeni msaada wenu wakuu.
Naomba kuwasilisha.