Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,492
Habari!
....Nakumbuka siku Rais Obama anakuja Tanzania mitaa yetu ya Dar ilikuwa inatoa harufu nzuri ya marashi ya dawa ya kuua mbu! Hii ilifanyika ili mgeni wetu asiugue malaria. Barabara zetu zilipigwa deki, machinga walipigwa bakora wasituaibishe kwa kwenda kwenye madirisha ya ile gari maarufu "The beast" kuanza kuuza vyupi vya mtumba kwa akina Michele ha ha haaaa!
Yes, mgeni njoo mwenyeji apone au akome! Ndugu watanzania, kwa nini bunge lisizuie ununuzi wa ndege kubwa ya bilion 270s na kuamua kuspray dawa na kupunguza mbu? Kuna nchi za wenzetu wamefanya hivyo na NO MALARIA!
Afya ya mlipa kodi ni ya muhimu sana kwani akifa hata serikali itakosa hiyo kodi ya kununua dreamers!
Ni ajabu, tunadeki barabara kisa kaja The Potus halafu akiondoka tunaendelea kuhara, kutapika na kuchafua mitaa kama kawaida!!!
Kiongozi atakumbukwa kwa kufocus kwa kipaumbele hata kimoja kitakachodumu miaka elfu na sio kudonoa donoa vipaumbele!!!
Thinking like Albert Eisten!
Sent using Jamii Forums mobile app
....Nakumbuka siku Rais Obama anakuja Tanzania mitaa yetu ya Dar ilikuwa inatoa harufu nzuri ya marashi ya dawa ya kuua mbu! Hii ilifanyika ili mgeni wetu asiugue malaria. Barabara zetu zilipigwa deki, machinga walipigwa bakora wasituaibishe kwa kwenda kwenye madirisha ya ile gari maarufu "The beast" kuanza kuuza vyupi vya mtumba kwa akina Michele ha ha haaaa!
Yes, mgeni njoo mwenyeji apone au akome! Ndugu watanzania, kwa nini bunge lisizuie ununuzi wa ndege kubwa ya bilion 270s na kuamua kuspray dawa na kupunguza mbu? Kuna nchi za wenzetu wamefanya hivyo na NO MALARIA!
Afya ya mlipa kodi ni ya muhimu sana kwani akifa hata serikali itakosa hiyo kodi ya kununua dreamers!
Ni ajabu, tunadeki barabara kisa kaja The Potus halafu akiondoka tunaendelea kuhara, kutapika na kuchafua mitaa kama kawaida!!!
Kiongozi atakumbukwa kwa kufocus kwa kipaumbele hata kimoja kitakachodumu miaka elfu na sio kudonoa donoa vipaumbele!!!
Thinking like Albert Eisten!
Sent using Jamii Forums mobile app