Dawa ya kugandisha: Kukomoa au kudhalilishana?

Wiyelelee

JF-Expert Member
Nov 9, 2012
1,071
347
Hivi karibuni, kuliibuka tetesi kwamba mwanamme na mwanamke waligandana huko Temeke Mkoa wa Salidalama baada ya kusaliti ndoa zao. Jana niliskia kwenye redio moja kwamba kuna Mganga ameibuka kwamba dawa hiyo anayo! Mimi niliposkia kwamba sasa itaanza kupatikana kiholela nimeogopa sana kwamba hali itakuaje?

Hii dawa ikianza kutumika hovyo, je itakuwa mke au mme anamkomoa mwenzake au ni kudhalilisha ndoa? Maana chukulia kama mke wangu amenigandisha na HG, wakaja watu kunishangaa pale nyumbani. Nani atadhalilika zaidi, mke wangu au mimi niliyegandisha na HG? Nadhani huko sio kumkomoa mtu bali ni kudhalilisha familia nzima. Cha ajabu, eti mwanamme anamgandisha mke wake na mtu mwingine, sio aibu hiyo?

Lazima jamii ielimike na kuachana na mambo haya ya kijinga.
 
Hivi karibuni, kuliibuka tetesi kwamba mwanamme na mwanamke waligandana huko Temeke Mkoa wa Salidalama baada ya kusaliti ndoa zao. Jana niliskia kwenye redio moja kwamba kuna Mganga ameibuka kwamba dawa hiyo anayo! Mimi niliposkia kwamba sasa itaanza kupatikana kiholela nimeogopa sana kwamba hali itakuaje?

Hii dawa ikianza kutumika hovyo, je itakuwa mke au mme anamkomoa mwenzake au ni kudhalilisha ndoa? Maana chukulia kama mke wangu amenigandisha na HG, wakaja watu kunishangaa pale nyumbani. Nani atadhalilika zaidi, mke wangu au mimi niliyegandisha na HG? Nadhani huko sio kumkomoa mtu bali ni kudhalilisha familia nzima. Cha ajabu, eti mwanamme anamgandisha mke wake na mtu mwingine, sio aibu hiyo?

Lazima jamii ielimike na kuachana na mambo haya ya kijinga.

Watu wengine sijui mmeumbwaje. Hivi wewe leo hii ukikengeuka akili zikakutoka ukashindwa kuona tofauti yako wewe mwanadamu na nguruwe na kuanza kufanya ufuska, nani anaiaibisha familia?

Au ni haki yako kufanya fanya wake za watu?

Yaani imefikia sasa hata hamuoni haja ya kuficha tabia zenu. Unakuja hapa kutetea ujinga. Mimi nasema bora ilivyopatikana ya kukamata wanaume pia. Watanzania tumekuwa kama wanyama, yaani ngono kila kona hata aibu wala staha hakuna. Hakuna anayejali kama kaoa wala kuolewa, ni kuvua nguo kama nguruwe.

Nguruwe na mbuzi ndio wanapandanapandana hovyo bila kujali huyu ni mama au dada yake. Sasa wewe unayetoka nje ya ndoa yako ni sawa tu na nguruwe kwa hiyo sioni unachodhalilishwa ikiwa mwenyewe umeamua kuwa nguruwe wa maadili.

Jamii ikielimika itaacha ufuska. Napinga ufuska, hamna adabu watoto wa leo, wanawake wamefanya matobo yao kama dust bin, kila mwenye uchafu wake atumbukize humo. Na wanaume wamekuwa mbuzi, wakiona uchi tu mihemko hata akili hazina staha tena, pambaf.

Hiyo dawa ishushwe bei, kila familia ipate ******* zenu
 
Kibaya ni kuamini huo uvumi/ujinga wa kwamba eti kuna dawa ya kugandisha na watu wanaacha shughuli zao na kwenda kushuhudia jambo ambalo halipo. Jamii yetu bado tu wajinga wa kufundishwa kwa vitisho, cha msingi ni watu kuelewa na kuacha kutembea na wake au waume wa watu wengine. Ila uongo wa kusema kuna kugandisha au kuamini kuna kugandishwa ni upuuzi na uzushi. Tuache habari za kutekenya masikio
 
Wiyelele, una akili ya kuwaza au unajua tu kuongea? Umeshajiuliza kila mtu angekuwa kama wewe maisha yangekuwaje?

Mimi nataka kila mmoja wenu (wenye kupenda tabia za ngono hovyo) ajiulize swali hili:
Wote tuna mama (mzazi wa kike). Sasa jiulize kama wakati una miaka around 20/25, mama yako mzazi awe anafanywa leo na jirani huyu, kesho yule. Leo kafanywa na mpishi wa shule, kesho dereva wa lori la mkaa, yaani yeye ndio amepata hii haki ya kuwa huru kufanywa weeeeee kadiri anavyojisikia. Upande wa pili, baba yako naye, leo kamfanya mchumba wako (wewe), kesho katembea na muuza uji wa mchele, mara kampa mimba fundi cherehani n.k. Hii ndio haki mnayoitaka? Kama mtoto mkubwa ambaye tayari una ufahamu na hao ndio wazazi wako, unajisiaje?
 
Last edited by a moderator:
kwa jinsi hiki kibosi changu kizungu kilivyo kinoko, ninekiwekea tego, kikienda kwa machangu wake kinase hukohuko na kitolewe kwenye the Guardian front page
 
Watu wengine sijui mmeumbwaje. Hivi wewe leo hii ukikengeuka akili zikakutoka ukashindwa kuona tofauti yako wewe mwanadamu na nguruwe na kuanza kufanya ufuska, nani anaiaibisha familia?

Au ni haki yako kufanya fanya wake za watu?

Yaani imefikia sasa hata hamuoni haja ya kuficha tabia zenu. Unakuja hapa kutetea ujinga. Mimi nasema bora ilivyopatikana ya kukamata wanaume pia. Watanzania tumekuwa kama wanyama, yaani ngono kila kona hata aibu wala staha hakuna. Hakuna anayejali kama kaoa wala kuolewa, ni kuvua nguo kama nguruwe.

Nguruwe na mbuzi ndio wanapandanapandana hovyo bila kujali huyu ni mama au dada yake. Sasa wewe unayetoka nje ya ndoa yako ni sawa tu na nguruwe kwa hiyo sioni unachodhalilishwa ikiwa mwenyewe umeamua kuwa nguruwe wa maadili.

Jamii ikielimika itaacha ufuska. Napinga ufuska, hamna adabu watoto wa leo, wanawake wamefanya matobo yao kama dust bin, kila mwenye uchafu wake atumbukize humo. Na wanaume wamekuwa mbuzi, wakiona uchi tu mihemko hata akili hazina staha tena, pambaf.

Hiyo dawa ishushwe bei, kila familia ipate ******* zenu

Mwana Mtoka Pabaya umeongea kwa hasira sana. Hapa kuna mambo mawili. Jamii ielekeze nguvu kwa kuelimishana kuhusu madhara ya ufuska badala ya kukimbilia kwa waganga wa jadi. Maana hili tunaliona kama ni jambo dogo ila madhara yake yatakwenda hata kwenye elimu, kazi ambapo kama mtoto hana akili, atakwenda kwa mganga amuoteshe mtihani.

Pia hili la kugandisha sio nzuri kabisa, watu wakiganda kama 100 hivi, image ya Tanzania itakuaje? Hapa kazi ni kuwasaka waganga hawa wote wakamatwe maramoja li kulinda heshima ya Watanzania. Tena haya mambo yanafanyika Salidalama, tukianza huku Mpitimbi kwetu hali itakuwa mbaya sana.
 
Wiyelele, una akili ya kuwaza au unajua tu kuongea? Umeshajiuliza kila mtu angekuwa kama wewe maisha yangekuwaje?

Mimi nataka kila mmoja wenu (wenye kupenda tabia za ngono hovyo) ajiulize swali hili:
Wote tuna mama (mzazi wa kike). Sasa jiulize kama wakati una miaka around 20/25, mama yako mzazi awe anafanywa leo na jirani huyu, kesho yule. Leo kafanywa na mpishi wa shule, kesho dereva wa lori la mkaa, yaani yeye ndio amepata hii haki ya kuwa huru kufanywa weeeeee kadiri anavyojisikia. Upande wa pili, baba yako naye, leo kamfanya mchumba wako (wewe), kesho katembea na muuza uji wa mchele, mara kampa mimba fundi cherehani n.k. Hii ndio haki mnayoitaka? Kama mtoto mkubwa ambaye tayari una ufahamu na hao ndio wazazi wako, unajisiaje?

Umeelezea vizuri sana na nimekuelewa, ila mtu kama hashikiki dawa ni kuachana nae na si kumgandisha. Chukulia mfano kama kweli ndo mtu anatabia hizo na mlolongo wa watu hao katembea nao, na iwapo kila mmoja anako kachupa ka kugandisha, je huyo mtu atagandishwa mara ngapi?? Lazima hapa elimu itembee ili tuingie sayansi ya kweli na si sayansi ya kishirikina. Tuache ushabiki wa kishirikina.
 
kwa jinsi hiki kibosi changu kizungu kilivyo kinoko, ninekiwekea tego, kikienda kwa machangu wake kinase hukohuko na kitolewe kwenye the Guardian front page

Sasa hasa sisi wasomi tuanze kushabikia ushirikina? Hii jamii manake tunairudisha kwenye karne ya 13!
 
Ujinga...

Usiseme ujinga wakati ukienda kule Temeke watu wako busy kumsaka mganga ili awape dawa ya kugandisha! Hii ni desturi potofu sana tukianza kujiingiza kwa mambo ya kiushirikina.
 
kwa jinsi hiki kibosi changu kizungu kilivyo kinoko, ninekiwekea tego, kikienda kwa machangu wake kinase hukohuko na kitolewe kwenye the Guardian front page
Bujibuji!hicho kibosi chako ni ki nani chako hadi ukitafutie kugandana!!maana wanaotafutiana hivyo ni mke na mme!!hebu nitoe tongotongo!!
 
Last edited by a moderator:
yah ndio maana kwangu ni ujinga kitendo tu cha kuanza kupeleka miguu yangu kwa mganga nipewe na masharti juu ni ujinga ina maana na huyo mwenza/mpenzi nilimtafuta kwa njia ya ushirikina na kumnasua nako nahitaji ushirikina hayo ni mapenzi au ulonzi ajisemee gsonwin.

Usiseme ujinga wakati ukienda kule Temeke watu wako busy kumsaka mganga ili awape dawa ya kugandisha! Hii ni desturi potofu sana tukianza kujiingiza kwa mambo ya kiushirikina.
 
Umeelezea vizuri sana na nimekuelewa, ila mtu kama hashikiki dawa ni kuachana nae na si kumgandisha. Chukulia mfano kama kweli ndo mtu anatabia hizo na mlolongo wa watu hao katembea nao, na iwapo kila mmoja anako kachupa ka kugandisha, je huyo mtu atagandishwa mara ngapi?? Lazima hapa elimu itembee ili tuingie sayansi ya kweli na si sayansi ya kishirikina. Tuache ushabiki wa kishirikina.

Mkuu Wiyelele, wewe umechukizwa na ufuska katika muktadha wa MKE vs MUME na point yako ikawa ni mtegaji anaiaibisha familia. Mimi nimekurudisha kuwa ni mama yako mzazi huyo ndio mwenye kubanduliwa hovyo hovyo na ujue mitaani hakuna siri. Je utaachana na mama yako?

Kwa hiyo jibu hapo ni kwamba, mfanya uhuni ndio uwaaibisha wenzake. Sisemi kwamba TEGO ndio dawa, la hasha, lkn kwa hali ilivyo sisiti kusema kuwa kila mtu angejua kuwa kategwa, uhuni ungepungua.
 
Last edited by a moderator:
Bujibuji!hicho kibosi chako ni ki nani chako hadi ukitafutie kugandana!!maana wanaotafutiana hivyo ni mke na mme!!hebu nitoe tongotongo!!

Si kibosi chake keshakwambia.

Mimi mwenyewe nina hasira ya mtaa mzima. Juzi hapa Boda Boda kamfumania mke wake na muuza duka. Saa 12 alfajiri watu wameshaamka wanafanya uhuni, huoni hatari hiyo.

Hii dawa ilibidi twende nayo kwa kasi ile ya KIKOMBE CHA BABU
 
Back
Top Bottom