Hongera kwa kupokea witu, kuna mtu anakuulizia atakupata wapi, ametulalamikia wana JF umeadimika.Naam?
Unaweza kuwa mtu mwema ukanifahamisha jinsia ya huyo mtu ili nione kama naweza ku do the needful?Hongera kwa kupokea witu, kuna mtu anakuulizia atakupata wapi, ametulalamikia wana JF umeadimika.
Ana jinsia ya +ME, halafu anaonekana kazaliwa kabla ya Tanganyika kubadili jina lake na kuitwa Tanzania.Unaweza kuwa mtu mwema ukanifahamisha jinsia ya huyo mtu ili nione kama naweza ku do the needful?
Wema wako ndio mafanikio yangu kiongozi
Basi sina msaada wowote kwake. Apambane tu na hali yakeAna jinsia ya +ME, halafu anaonekana kazaliwa kabla ya Tanganyika kubadili jina lake na kuitwa Tanzania.
Kwenye Maduka makubwa ya dawa inapatikana. High dose of aspirin is used to prevent stroke. Ni moja ya dawa muhimu.
juniour aspirin kanunue zipo madukani kibao usiseme aspirinWakuu, jana nimepitapita kwenye maduka hapa Dar nikitafuta dawa ya Aspirin lakini nikaonekana kituko. Najiuliza ni kipi kimepelekea dawa hiyo kutopatikana madukani?