NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
khaaa! wa mwezi mmoja?Ephedrine hydrochloride 0.5% (paediatric) nasal drops
khaaa! wa mwezi mmoja?Ephedrine hydrochloride 0.5% (paediatric) nasal drops
Zinapatikana mkuuShukrani mkuu. Si inapatikana pharmacy?
Inapatikana ziko za aina mbili, kwa watoto 0.5%, wakubwa wanapewa 1%Hii inapatikana pharmacy... Hiyo 0.5% iko sahihi?
Habari Jf doctors.
Naomba kujua dawa nzuri ya mafua Kwa mtoto wa mwezi mmoja. Natanguliza shukrani.
Mungu mkubwa,nami nilionaga ile post yake.Hongera sana, hatimaye maombi yako yamejibiwa
Kama sio doct umeyajuaje hayo ma antibodies bossMafua ni means ya kumkinga na vimelea nyemelezi kiafya, anaposhikwa na mafua kwake sio ugonjwa wa kukuumiza kichwa hiyo ni defence mechanism ya cells mwilini kuwa anavuta hewa ya dunia na kuwa sasa mwili unajitengenezea antibodies za kumkinga na hewa chafu kuingia mapafuni...
Mimi naona kwa mtoto wa mwezi mmoja, Saline nasal drops ni salama zaidi. Dawa ziko nyingi lakini yoyote utakayochagua usisahau kusoma tahadhari (contraindications) zake, kama ni salama kwa mtoto wa umri chini ya mwaka watakueleza.Ephedrine hydrochloride 0.5% (paediatric) nasal drops
Shukrani Mkuu. Hakika kila jambo lina wakati wake.
AksanteHakika nitaandaa thread kwa ajili la hili.
Vipi mkuu ulitumia njia gani mtoto akapona mafua?Hakika nitaandaa thread kwa ajili la hili.
Mkuu mtoto wako alipona Mafia? Ulitumia dawa gani?Shukrani Mkuu. Hakika kila jambo lina wakati wake.
Dah! Mwana chelsea mimi mwenyewe natamani nijue yaani mwanangu anamafua balaa na ana miezi mitatu mpaka nimechanganyikiwa kidogo.Mkuu mtoto wako alipona Mafia? Ulitumia dawa gani?
Dah! Kwamba mtoto hatakiwi kupewa dawa! Wakati mafua yakizidi yanaweza kupelekea akashindwa kunyonya mkuu.Usimpe Dawa yoyote Mafia huletwa na virus, na hupotea menyewe usimpe madawa mtoto, utadhuru mifupa yake
Nyonyesha nyonyesha afu nyonyesha tena ni dawa dhabiti kwa mtoto period,yakizidi mpake majimaji ya kitunguu unyayoniDah! Kwamba mtoto hatakiwi kupewa dawa! Wakati mafua yakizidi yanaweza kupelekea akashindwa kunyonya mkuu.
Vitunguu swaum au maji mkuu? Nakufanya kwangu kazi zahanati nimegonga mwamba kwa mwanangu aiseeNyonyesha nyonyesha afu nyonyesha tena ni dawa dhabiti kwa mtoto period,yakizidi mpake majimaji ya kitunguu unyayoni
vitunguu majiVitunguu swaum au maji mkuu? Nakufanya kwangu kazi zahanati nimegonga mwamba kwa mwanangu aisee