LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Akina lucy nkya si wapo!
Ili kuondoa ufisadi uliokithiri sasa ni wakati muafaka wizara nyeti kama vile fedha, elimu, maliasili na utalii, ulinzi, tamisemi, kilimo, biashara, maji, nishati na madini, ulinzi, mambo ya ndani, afya, mawasiliano na uchukuzi zishikwe na akinamama UWAZIRI, UNAIBu WAZIRI na KATIBU MKUU. Hiyo itakuwa ni mwarobaini wa kuondoa UFISADI, pia IGP, CDF and MKUU WA TISS, DPP, JAJI MKUU, MKUU WA TAKUKURU zishikwe na akinamama
Napendekeza waziri wa Fedha awe Sofia Simba, Nishati na madini Vicky Kamata.
ufisadi hauondolewi kwa kigezo cha jinsia.
Timu ya ushindi CCM kuelekea 2015
Waziri Mkuu - Rose Migiro
Waziri wa Fedha Anna Tibaijuka
Ulinzi - Sofia Simba
Mambo ya Ndani - Jenista Mhagama
Utamaduni na Michezo - Vicky Kamata
Nishati na Madini - Stella Manyanya
Kilimo na Mifugo - Dr. Ishengoma
Maliasili na Utalii - Ummy Mwaimu
Utumishi - Hawa Ghasia
Afya - Dr. Nkya
Biashara - Mary Nagu
Uchukuzi - Esther Bulaya
Kwa mtaji huu CHADEMA kimeandaliwa kaburi
Josephine Mashumbusi apewe wizara ya ustawi wa jamii.
Napendekeza waziri wa Fedha awe Sofia Simba, Nishati na madini Vicky Kamata.
Kumbe mambo mengi siyaelewi? Getruda huyu huyu mbeijin No. 1 au mwingine?kwani wanawake ndo sio mafisadi???Mbona Getruda Mongera hadi kule Bunge la afrika kafanya ufisadi mpaka kaitia aibu Tanzania??
kuna akina mama kama blandina nyoni ni hatari sana kwa kukwapua mali za umma!
Ili kuondoa ufisadi uliokithiri sasa ni wakati muafaka wizara nyeti kama vile fedha, elimu, maliasili na utalii, ulinzi, tamisemi, kilimo, biashara, maji, nishati na madini, ulinzi, mambo ya ndani, afya, mawasiliano na uchukuzi zishikwe na akinamama UWAZIRI, UNAIBu WAZIRI na KATIBU MKUU. Hiyo itakuwa ni mwarobaini wa kuondoa UFISADI, pia IGP, CDF and MKUU WA TISS, DPP, JAJI MKUU, MKUU WA TAKUKURU zishikwe na akinamama