Dawa na njia mbadala za Kupunguza unene/uzito | Weight Loss techniques and advice

kunywa maji ya vuguvugu kiasi cha lita 1 asubuhi kabla hujala chochote na hujapiga mswaki,then kaa dk 45 bila kula chochote.
nilikuwa na 88kg now 82
 
kunywa maji ya vuguvugu kiasi cha lita 1 asubuhi kabla hujala chochote na hujapiga mswaki,then kaa dk 45 bila kula chochote.
nilikuwa na 88kg now 82
Imekuchukua muda gani kukata hizo 6 mkuu??
 
Nilipunguza 10kg kwa kuacha kula vyakula vya wanga kwa wingi. Nakula kidogo saana ili nisikose stamina, nakula protein kidogo na mboga za majani zaidi. Nacheza Tennis 3 times a week na ninatembea kila baada ya saa moja nje ya nyumba. Chakula changu kikuu ni maziwa, mtindi na mboga za majani.
 
Kabla ya kuamua kupunguza uzito,

Wengi huchukizwa na muonekano wa sehemu za tumbo, mapaja na mikono. Hivyo ni rahisi zaidi kupunguza uzito kama utaondoa nyama zembe katika sehemu hizo.

Ili kuondoa nyama zembe unatakiwa kupunguza ulaji wa vyakula vya wanga na ngano (hasa zilizokobolewa).

Vilevile kupunguza ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi na unywaji wa bia.

Ule nini sasa?

Mbinu ya Kwanza
- Kula mbogamboga
- Chai ya Tangawizi, mlonge, n.k
- Kula Samaki
- Matunda
- Wanga & Ngano zisizokobolewa
- Mbegu za Maboga, karanga, korosho, nyonyo, ufuta n.k
- Kunywa maji mengi

Jitahidi kula vyakula hivi mara tu unapohisi njaa. Kama huhisi njaa usile.

Vyakula hivi vitakusaidia kuhisi umeshiba kwa muda mrefu wakati huo huo mafuta ya nyama zembe yatakuwa yanachomwa.

Kama utakula vyakula hivi kila siku kwa wiki 4 hadi 6 utaweza kupunguza kilo 5 mpaka 10 haijalishi kama ni unene wa urithi au uzazi.

Pia tumbo na nyama zembe vitatoweka na utaanza kujihisi mwepesi na hata kuanza kufanya zile kazi ulikuwa huwezi kufanya kabla.

Mbinu ya Pili ambayo husaidia kuondoa nyama zembe kwa muda mfupi zaidi ni ulaji wa 'Mlo mbadala' asubuhi na jioni (Chrysanthemum Diet tea).

Njia hii imekuwa msaada kwa wengi kutokana na kuwa na uwezo mkubwa wa kuzuia njaa kwa muda mrefu na kuufanya mwili upate nguvu kutoka katika mafuta yaliyo kwenye nyama zembe hivyo nyama zembe kutoweka ndani ya siku chache tu baada ya kuanza kutumia mlo mbadala.

Kuendelea kupata mafunzo mengi kama haya kuhusu mbinu za kuondoa nyama zembe mwilini pamoja na matatizo mengine, tafadhali comment.
 
kupungua ni kwepesi sana hasa kwa wale walio amua na kutia nia. kinyume cha hapo ni kazi bure.
kifanyacho mtu kunenepa ni ulaji mwingi wa wanga na sukari, mtu ukiweza kuviacha hivyo matokeo unayapata kwa haraka zaidi ila ukivipunguza na kupunguza idadi ya milo kwa siku utapata matokeo ila taratibu sana ambako unaweza usigundue ka unapungua

Unene ni matokeo ya ulaji uliopindukia na amabao mara nyingi unaendana na kutokuwa na ratiba nzuri ya ulaji yani mtu anakula pale aonapo chakula pasipokuzingatia kuwa ananjaa ama la, pia milo mingi kwa siku yani mtu anakula saa 12 asubuhi, saa 4, saa 7 saa 10 na saa 3 usiku, na vyakula vingi alavyo ni wanga na sukari. kwanini mtu asiongezeke na afanane na funza?

Tuchukue hatua dhidi ya tatizo hili maana uzito mkubwa ni tatizo ambalo linaleta matatizo mengi katika mwili ambayo maranyingi hospitali hawawezi yatibu na yakatokomea maana chazo kinabaki na hakililiwi msisitizo na kuonekana ka tatizo.
 
Kabla ya kuamua kupunguza uzito,

Wengi huchukizwa na muonekano wa sehemu za tumbo, mapaja na mikono. Hivyo ni rahisi zaidi kupunguza uzito kama utaondoa nyama zembe katika sehemu hizo.

Ili kuondoa nyama zembe unatakiwa kupunguza ulaji wa vyakula vya wanga na ngano (hasa zilizokobolewa).

Vilevile kupunguza ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi na unywaji wa bia.

Ule nini sasa?

Mbinu ya Kwanza
- Kula mbogamboga
- Chai ya Tangawizi, mlonge, n.k
- Kula Samaki
- Matunda
- Wanga & Ngano zisizokobolewa
- Mbegu za Maboga, karanga, korosho, nyonyo, ufuta n.k
- Kunywa maji mengi

Jitahidi kula vyakula hivi mara tu unapohisi njaa. Kama huhisi njaa usile.

Vyakula hivi vitakusaidia kuhisi umeshiba kwa muda mrefu wakati huo huo mafuta ya nyama zembe yatakuwa yanachomwa.

Kama utakula vyakula hivi kila siku kwa wiki 4 hadi 6 utaweza kupunguza kilo 5 mpaka 10 haijalishi kama ni unene wa urithi au uzazi.

Pia tumbo na nyama zembe vitatoweka na utaanza kujihisi mwepesi na hata kuanza kufanya zile kazi ulikuwa huwezi kufanya kabla.

Mbinu ya Pili ambayo husaidia kuondoa nyama zembe kwa muda mfupi zaidi ni ulaji wa 'Mlo mbadala' asubuhi na jioni (Chrysanthemum Diet tea).

Njia hii imekuwa msaada kwa wengi kutokana na kuwa na uwezo mkubwa wa kuzuia njaa kwa muda mrefu na kuufanya mwili upate nguvu kutoka katika mafuta yaliyo kwenye nyama zembe hivyo nyama zembe kutoweka ndani ya siku chache tu baada ya kuanza kutumia mlo mbadala.

Kuendelea kupata mafunzo mengi kama haya kuhusu mbinu za kuondoa nyama zembe mwilini pamoja na matatizo mengine, tafadhali comment.
 
Back
Top Bottom