Josephkaole
New Member
- Apr 16, 2011
- 2
- 0
Hey upo serious na hyo effect ya method ya kunywa maji?
NUNUA BIO DISC UTENGENEZE BIO WATER HIVI.
KUNYWA GLASS 2 DAKIKA 10 KABLA YA KULA. GLASS 1 WAKATI UNAKULA NA GLASS 2 DAKIKA 5 BAADA YA KULA. BIO DISC INAPATIANA KUPITIA WEB SIE QNet | Direct Selling - Home. jinsi ya kunua lazima uwasiliane nami
UNIQUE
Kunywa konyagi kama maji pindi unapohisi kiu
Tumbo/Kitambi kinasababishwa na mafuta yanayolundikana kwa sababu mwili unapata energy (chakula cha kuongeza nguvu/joto mwilini) nyingi kupita unavyotumia, na hivyo ziada inahifadhiwa kama mafuta sehemu mbali mbali za mwili, mara nyingi kwenye ukuta wa tumbo (abdominal wall).
Kwa hiyo basi, kuna njia tatu tu za uhakika kuweza kutatua hilo tatizo... 1. Kupunguza kiasi cha energy (chakula) unachokula ili kuzuia ziada isilundikane kama mafuta kwa kufanya diet, 2. Kutumia hiyo ziada ya energy (chakula) iliyolundikana tayari kama mafuta kwenye ukuta wa tumbo (kitambi) kwa kufanya mazoezi na kazi nyingine za nguvu, 3. Kama una hela..fanya upasuaji kutoa hayo mafuta yaliyolundikana (kama alivyofanya Mustafa Hassanali).
Hizo story za chai, sijui kufunga special belt, dawa za kumeza etc hazina ushahidi wa kisayansi kuwa zinafanya kazi, na kama matokeo yake ni ya kudumu.
Hiyo ya kabichi ,imekaa kishotishotiUkitaka kupunguza unene na maradhi mengi yaondoke ufuate yafuatayo muda wa mwezi au zaidi:
1.Kabla ya kula kwa nusu saa unywe maji gilasi moja au mbili au tatu au zaidi na baada ya nusu saa au robo saa:
2.ule salata sahani kubwa sana sana na inaruhusiwa kula matunda na baada ya kula salata
3.ule chakula chako kisiwe na mafuta mafuta.
4.Huruhsiwi kabisa wakati wa chakula kunywa maji na pia baada ya chakula ila baada ya masaa mawili.
5.Chakula cha usiku kiwe mapema na kidogo sana.
6. Ukiwa na tumbo kikubwa na huna mimba basi ili tumbo kiondoke haraka uchukue magamba ya kabichi uipashe moto kidogo sana yaani upate mvuke khalafu magamba uitie nje ya tumbo lako uifunge vizuri mpaka asubuhi katika siku mbili utaona kua umepungua zaidi ya kilo mbili.