Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina uzito/unene uliokithiri na ningependa kuupunguza bila kudhurika kiafya.
Nimejaribu kusoma websites/vitabu kadhaa, wengi wanatoa ushauri/diet plans kutumia bidhaa au vyakula ambavyo naona kama ni vya kizungu, kwa Tanzania sijui kama vipo na kama vipo basi sivijui.
Je naweza kupata ushauri namna ya kupunguza huu mwili kwa kutumia vitu/bidhaa/vyakula vinavyopatikana Tanzania?
Help, help, help please.
Habari za asubuhi madokta wa JF na member wengine? natumai hamjambo.Nina uzito/unene uliokithiri na ningependa kuupunguza bila kudhurika kiafya.
Nimejaribu kusoma websites/vitabu kadhaa, wengi wanatoa ushauri/diet plans kutumia bidhaa au vyakula ambavyo naona kama ni vya kizungu, kwa Tanzania sijui kama vipo na kama vipo basi sivijui.
Je naweza kupata ushauri namna ya kupunguza huu mwili kwa kutumia vitu/bidhaa/vyakula vinavyopatikana Tanzania?
Help, help, help please.
Ni kweli, watu tunakula sana, na ukiangalia tunakula wanga na sukari nyingi sana, kulala na njaa sio kitu chema hata kidogo.Njia Rahisi no kupunguza Calories,Andika kika kinachopita kinywani kwako.Kwa kutumia smart phone tumia app ya evernote.Utagundua watu tunakula sana pia ukiweza usile usiku.nilifanya hivi kwa mwezi nikapungua kg 10 bila mazoezi.
Punguza kiwango cha kula vyakula vya wanga, pia punguza sana kula sukari(soda), hivi ndo tatizo, na pia weka utaratibu wa kula(kula pale unaposikia njaa tu) ukipunguza wanga na sukari, utajikuta husikii njaa mara kwa mara, hivyo unaweza kujikuta unakula mara3 au mbili kwa siku.....Nina uzito/unene uliokithiri na ningependa kuupunguza bila kudhurika kiafya.
Nimejaribu kusoma websites/vitabu kadhaa, wengi wanatoa ushauri/diet plans kutumia bidhaa au vyakula ambavyo naona kama ni vya kizungu, kwa Tanzania sijui kama vipo na kama vipo basi sivijui.
Je naweza kupata ushauri namna ya kupunguza huu mwili kwa kutumia vitu/bidhaa/vyakula vinavyopatikana Tanzania?
Help, help, help please.