Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada nahitaji kupunguza tumbo pasipo kupungua mwili
Nilishawahi tumia mkanda ukanishinda
Ulikua unaniumiza sana nikaacha
Yeah ni kweli unachosema hawezi kupungua tumbo pekeyake bila sehemu nyingine ya mwili kupungua nakulingana na ushauri anaopewa lazima apungue mwili mzima.Tumbo ni sehemu ya mwili pia, unaposema kupunguza tumbo bila kupunguza mwili una maana gani?
nakushauri kutumia belt tuu, ninazo belt ambazo unapungua tumbo na kiuno inakushepu unaonekana vizuri na haiumizi ni tofauti kabisa na belt ulizozizoeaMsaada nahitaji kupunguza tumbo pasipo kupungua mwili
Nilishawahi tumia mkanda ukanishinda
Ulikua unaniumiza sana nikaacha
mimi dume la mbegu jamaa angu age 45
Nani kakuuliza?
Sawa lakini si angetaja umri na size ya tumbo, sasa mambo ya kuwa yeye ni dume la mbegu anapeleka wapi, aende basi kijijini kwao akapandwe, mwanaume unjiita dume la mbegu alafu wanaume wenzako wakitaka kukupanda utalalamika?anataka dawa ya kupunguza tumbo. kama unayo mpe mkuu!