Jaribu kufanya sit ups hii inasaidia na kupunguza kula pia!
hakuna zoezi la "kupunguza tumbo" hauwezi kutarget area ya mwili wako unayotaka ipungue wataalamu wanaita hii "spot reduction" haiwezekani.
Unapunguza overall bodyfat kwa kutumia calories nyingi kuliko unazokula, calories out > calories in. Ukifanya hivyo utapunguza bodyfat, ila eneo ambalo litapungua inategemea na genetics zako, wengine wanapungua tumbo wengine mapaja etc. Hakuna njia ta ku-controll hili.
mazoezi muhimu yanasaidia kwa vile umesema unataka mazoezi ya ndani sit-ups zinasaidia na kingine mwache bi mkubwa ashughulike zaidi kwenye tendo la ndoa huwa inawasaidia wanawake wengine.kitu kingine fanya nae mazoezi kimbieni kwa pamoja hata mara mbili kwa wiki utakuwa unampa moyo sio unataka yeye afanye mazoezi wakate wewe hufanyi sio powa.na ni raha sana kufanya mazoezi na mke wako jaribu utaona.kitu kingine hale milo midogo dogo mara 5 kwa siku kila baada masaa matatu hii inasaidia ku-increase metabolism yako ambayo itamsaidia kuunguza calories zaidi. Hii milo ni mboga za majani,matunda,samaki na kuku bila kusahau maji mengi.aache kula wali badala anaweza kutumia viazi vitamu kidogo tu.mwisho wa kula atleast 8pm.na anaweza kuongezea kunywa green tea she should be good to go ukijumlisha na ushauri wa watu wengine.ukifutilia hivyo na akiwa mvulimu wa vyakula vya haina hio atafanikisha lengo lake.kumbuka mazoezi muhimu sana.
kama ushauri wa hapo juu pia apunguze kula vitu vya mafuta na kukaanga kaanga kama chipi zaidi apendelee mchemsho
Hutakiwi kutumia chakula chochote zaidi ya hivyo vilivyotajwa