Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Kazi kwako wewe KakaJambazi kuna Majambazi sio kakajambazi msemo wako pia umepitwa na wakati.sababu ya mzizi mkavu kutokuchimbwa dawa ni nini, ilhali mzizi mbichi huchimbwa na kukaushwa ili utwagwe na uwe dawa??
Nahisi huu msemo ushapitwa na wakati.