Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,558
Madonda ya tumbo yalinitesa sana mpaka nilipokua natumia asali mbichi kijiko cha chakula asubuhi
Matetere(mbegu ) za papai zinasaidia sana
Kausha hizo mbegu halafu zitafune kama karanga
Utanikumbuka ukifuata masharti
Matetere(mbegu ) za papai zinasaidia sana
Kausha hizo mbegu halafu zitafune kama karanga
Utanikumbuka ukifuata masharti
jamani mwenye msaada wa kujua ipi ni dawa sahihi ya vidonda vya tumbo.