Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Siku moja nilikuwa natoka musoma kwenda mwanza njiani jamaa akabanwa na mkojo akamwomba konda asimamishe gari akojoe akaambiwa pale hawaruhusiwi kusimama ni hifadhi,jamaa akavumilia huku akiendelea kumkumbusha konda,baada ya muda tukafika kwenye center watu kibao ndo konda akamwambia jamaa akakojoe jamaa akamind kuwa ataendaje kuchimba dawa mjini? Akawa mkali na hakushuka hadi tulipofika porini.