Maguge Maguge
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 2,734
- 1,774
- Thread starter
- #21
We, Soya kwa wanaume inapunguza nguvu za kulima!Utaendelea kung'oa meno hadi pale utakapoanza kula vyakula vyenye calcium kwa wingi kama vile maziwa,soya e.t.c!.....Hakuna dawa ya meno yenye uwezo wa kuzuia meno kung'ooka!.....Achana na chips,anza kula vyakula vyenye tija na afya yako!