Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,709
- 8,007
Habari wana JF,
Duniani siku hizi kuna maradhi mengi sana, na changamoto kubwa imekuwa jinsi ya kupata tiba sahihi (hasa za asili) kwenye tatizo lako. Japo kwenda hospitali ni muhimu ili kucheki afya yako na kufahamu maradhi yanayokusumbua lakini tiba za asili (mizizi,majani,matunda,mbegu n.k) zimethibitishwa kuwa msaada mkubwa kwenye maradhi mbalimbali.
Binafsi nimetumia sana mmea wa Alovera (una majina mengi kulingana na unapotoka) na ulinisaidia sana kwenye kutibu homa,Malaria, na hata kupaka kwenye ngozi iliyoathiriwa na fangasi (fangasi za katikati ya vidole zilinisumbua sana). Utaratibu ni kuchemsha na maji safi kisha unaacha ipoe,unakunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni.
Wadau karibuni tujumuike ili wengine wanaopitia changamoto za maradhi mbalimbali waweze kuelimika.
ANGALIZO: Ni muhimu kwenda keenye kituo cha afya kupima kujua unasumbuliwa na nini kabla ya kuanza kutumia dawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duniani siku hizi kuna maradhi mengi sana, na changamoto kubwa imekuwa jinsi ya kupata tiba sahihi (hasa za asili) kwenye tatizo lako. Japo kwenda hospitali ni muhimu ili kucheki afya yako na kufahamu maradhi yanayokusumbua lakini tiba za asili (mizizi,majani,matunda,mbegu n.k) zimethibitishwa kuwa msaada mkubwa kwenye maradhi mbalimbali.
Binafsi nimetumia sana mmea wa Alovera (una majina mengi kulingana na unapotoka) na ulinisaidia sana kwenye kutibu homa,Malaria, na hata kupaka kwenye ngozi iliyoathiriwa na fangasi (fangasi za katikati ya vidole zilinisumbua sana). Utaratibu ni kuchemsha na maji safi kisha unaacha ipoe,unakunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni.
Wadau karibuni tujumuike ili wengine wanaopitia changamoto za maradhi mbalimbali waweze kuelimika.
ANGALIZO: Ni muhimu kwenda keenye kituo cha afya kupima kujua unasumbuliwa na nini kabla ya kuanza kutumia dawa.
Sent using Jamii Forums mobile app