palvinus dentalis
Member
- Sep 27, 2021
- 12
- 9
Ninaomba msaada kwa wajuzi wa mambo je ni Dawa gani nzuri ya wadudu katika maharage kwa anayefahamu.
Yamekosa maji au!?Ninaomba msaada kwa wajuzi wa mambo je ni Dawa gani nzuri ya wadudu katika maharage kwa anayefahamu View attachment 1962739
Kuna bwana shamba alinishauri nitumie SURABAN.Ninaomba msaada kwa wajuzi wa mambo je ni Dawa gani nzuri ya wadudu katika maharage kwa anayefahamu.
View attachment 1962739
HapanaYamekosa maji au!?
Ahsante mkuuKuna bwana shamba alinishauri nitumie SURABAN.
Inaua wadu wote.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
mkuu dawa gani ya fungus wanaosababisha maharage kuoza mizizi baada ya wiki ya tatu toka kuota. kama una uelewa zaidi ya hawa fungus naomba elimuOh sorry nimechelewa kujibu
Dawa za wadudu wa mimea(insect side)
Unaweza kutumia Duduba 450 Ec
Au karate
Hapo utaua wadudu wote
Muda mwingine ukiitaji ushauri kuhusu kilimo nitafute pm nikupe ushauri maana ni Mtaalamu wa kilimo
Kwa nini unampeleka sirini?Oh sorry nimechelewa kujibu
Dawa za wadudu wa mimea(insect side)
Unaweza kutumia Duduba 450 Ec
Au karate
Hapo utaua wadudu wote
Muda mwingine ukiitaji ushauri kuhusu kilimo nitafute pm nikupe ushauri maana ni Mtaalamu wa kilimo