M misasi New Member Aug 15, 2011 3 0 Aug 26, 2011 #1 WanaJF, Naombeni mnishauri dawa gani ya kimasai au ya kitaalam ya kutumia ili kuimarisha mishipa ya mashine yangu.na zinapatikana wapi?
WanaJF, Naombeni mnishauri dawa gani ya kimasai au ya kitaalam ya kutumia ili kuimarisha mishipa ya mashine yangu.na zinapatikana wapi?
Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,193 Aug 26, 2011 #2 Mchuzi wa pingili mbili za mwisho za mkia wa mbwa. Chemsha kunywa kutwa mara 3
Viper JF-Expert Member Dec 21, 2007 3,667 1,400 Aug 26, 2011 #3 Jsaudi said: Mchuzi wa pingili mbili za mwisho za mkia wa mbwa. Chemsha kunywa kutwa mara 3 Click to expand... hahaha dah!!!!
Jsaudi said: Mchuzi wa pingili mbili za mwisho za mkia wa mbwa. Chemsha kunywa kutwa mara 3 Click to expand... hahaha dah!!!!
Kiteitei JF-Expert Member Jan 14, 2009 1,587 1,523 Aug 27, 2011 #6 pcman said: mashine gani ina mishipa?. Click to expand... mkuu, si anamaanisha ro-mbo?! au nimemuelewa vibaya na mie
pcman said: mashine gani ina mishipa?. Click to expand... mkuu, si anamaanisha ro-mbo?! au nimemuelewa vibaya na mie
ndenga JF-Expert Member Dec 20, 2010 1,788 1,302 Aug 27, 2011 #7 Hamna mashine zenye mishipa, tuliza mawazo utaweza.
pepim JF-Expert Member Aug 1, 2011 335 51 Aug 29, 2011 #8 Tatizo ni picha za pono,ndizo ambazo huwaharibu vijana wengi...Wanafanya ulinganisho na mashine zao,mwisho wa siku wanajawa hofu na kujiona wadhaifu.
Tatizo ni picha za pono,ndizo ambazo huwaharibu vijana wengi...Wanafanya ulinganisho na mashine zao,mwisho wa siku wanajawa hofu na kujiona wadhaifu.