Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,405
- 30,908
A
Achana na jinga hiloLipi?
Achana na jinga hiloLipi?
Sijapaona. Nionyeshe.
Jibu hilo.Ilitakiwa nifanyaje?
Kama Museveni atakuwepo, nashauri Magu audhurie na wakae karibuKuanzia kesho Januari 22, 2019 hadi Ijumaa tarehe 25, viongozi mbalimbali kutoka jumuia ya kimataifa, viongozi wa kiserikali, viongozi wa taasisi zisizo za kiserikali, viongozi watendaji wa mashirika makubwa duniani, wanasayansi, na watu wengine wa kila aina ya kada watakutana huko Davos, Switzerland katika mkutano wa mwaka wa jukwaa hilo la kiuchumi duniani.
Ushiriki wake huwa ni wa kualikwa. Kwa hiyo kama hujaalikwa, huwezi ukajipeleka tu na kushiriki.
Kipindi cha awamu ya tatu na nne, marais wetu walishiriki shiriki kiasi chake.
Niliwahi kumwona Benjamin Mkapa kwenye moja ya hiyo mikutano. Pia Jakaya Kikwete alikuwa akishiriki.
Lakini tokea awamu ya 5 iingie madarakani, sijawahi kumwona mwakilishi yeyote yule kutoka serikali ya Tanzania.
Kwa mwaka huu sijui kama tutawakilishwa tena.
Ingependeza kama nasi tungekuwa na mwakilishi wetu huko Davos.
Wewe mwananchi unaonaje? Funguka...
Ha ha ha ha ha nimekuelewaKama Museveni atakuwepo, nashauri Magu audhurie na wakae karibu
Kama wa taifa ndo nani? Lissu??
Kama huyo aliyechachafywa na mwandishi wa BBC ndo kaka wa taifa, basi hafai.
Hata akiwepo zinapigwa tu kama kawa!Aende alafu hku nyuma mpige dili
Maana nijuavyo wabongo dk 10 nyingi
Je akikaa siku 3 hko huku si balaaaa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
*ANGALIA HUMU KAMA TUMO*
Top political leaders taking part are: Cyril M. Ramaphosa, Prime Minister of South Africa;.
Ingia website yao utayakuta hayoTazama chanzo chako vizuri, ni Rais!
Ingia website yao utayakuta hayo
Mpeleke Magu pale Hard Talk uone kituko cha karne.Kama wa taifa ndo nani? Lissu??
Kama huyo aliyechachafywa na mwandishi wa BBC ndo kaka wa taifa, basi hafai.
Huku tukizinunua ndege kutoka kwao,na zingine mbovu.Yaani wanazidi kutupiga tuuuHatuhitaji urafiki na mabeberu sisi aka wizi wa rasirimali zetu..
Huo mkutano ni wamabeberu wakiwa na mkuu wa mabeberu USA hautuhusu sisi..
Sisi tunabaki Tanzania kuchapa kazi tu na kuijenga Tanzania.
Mbaya zaidi wanazidi kutuibia tu kwa kutuuzia madege mabovuUSA ni beberu mwenzao wanajuana hao mabeberu wanachuzea akili tu, JPM piga kazi achana na hao mabeberu kwanza wameiba sana rasirimali zetu hao, hii ni vita ya kiuchumi na kuna siku tutawapa misaada wote hao na hivyo vikao watakuja kuvifanyia Dodoma.
Kuanzia kesho Januari 22, 2019 hadi Ijumaa tarehe 25, viongozi mbalimbali kutoka jumuia ya kimataifa, viongozi wa kiserikali, viongozi wa taasisi zisizo za kiserikali, viongozi watendaji wa mashirika makubwa duniani, wanasayansi, na watu wengine wa kila aina ya kada watakutana huko Davos, Switzerland katika mkutano wa mwaka wa jukwaa hilo la kiuchumi duniani.
Ushiriki wake huwa ni wa kualikwa. Kwa hiyo kama hujaalikwa, huwezi ukajipeleka tu na kushiriki.
Kipindi cha awamu ya tatu na nne, marais wetu walishiriki shiriki kiasi chake.
Niliwahi kumwona Benjamin Mkapa kwenye moja ya hiyo mikutano. Pia Jakaya Kikwete alikuwa akishiriki.
Lakini tokea awamu ya 5 iingie madarakani, sijawahi kumwona mwakilishi yeyote yule kutoka serikali ya Tanzania.
Kwa mwaka huu sijui kama tutawakilishwa tena.
Ingependeza kama nasi tungekuwa na mwakilishi wetu huko Davos.
Wewe mwananchi unaonaje? Funguka...
Mwenda bure sio sawa na mkaa bure...ingependezaKuanzia kesho Januari 22, 2019 hadi Ijumaa tarehe 25, viongozi mbalimbali kutoka jumuia ya kimataifa, viongozi wa kiserikali, viongozi wa taasisi zisizo za kiserikali, viongozi watendaji wa mashirika makubwa duniani, wanasayansi, na watu wengine wa kila aina ya kada watakutana huko Davos, Switzerland katika mkutano wa mwaka wa jukwaa hilo la kiuchumi duniani.
Ushiriki wake huwa ni wa kualikwa. Kwa hiyo kama hujaalikwa, huwezi ukajipeleka tu na kushiriki.
Kipindi cha awamu ya tatu na nne, marais wetu walishiriki shiriki kiasi chake.
Niliwahi kumwona Benjamin Mkapa kwenye moja ya hiyo mikutano. Pia Jakaya Kikwete alikuwa akishiriki.
Lakini tokea awamu ya 5 iingie madarakani, sijawahi kumwona mwakilishi yeyote yule kutoka serikali ya Tanzania.
Kwa mwaka huu sijui kama tutawakilishwa tena.
Ingependeza kama nasi tungekuwa na mwakilishi wetu huko Davos.
Wewe mwananchi unaonaje? Funguka...
Mwenda bure sio sawa na mkaa bure...ingependeza
Kama namuona vile anavopata tabu kueleweka.Hahahaha jiwe kiingereza kinamshinda ataweza wapi kuzungumza na watu waliobobea diplomasia ya kimataifa
Magufuli hajui hata kijenga hoja anaanzaje kuzungumza na watu hao
Magufuli yeye anajua kujenga hoja kwa risasi, sasa huko hakuna akina Mbowe wala Lissu atawezaje
Sent using Jamii Forums mobile app