Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,600
Probably Yes, si tunaona hawaendi. Wanabana matumizi si mnaona dreamliner hizo ,madaraja, reli ya kisasa na mengi yajayo yatakayofurahisha.Kwa hio kwa hii miaka yote aliyokaa madarakani,Magu hajawahi kuona mkutano wa maana huko mambele sio?
Sent from my iPhone using JamiiForums