aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,630
- 3,577
Inadaiwa kuwa Le Mutuz alimdanganya Davis Mosha kuwa yeye ni mtaalamu sana wa mambo ya media. Na yeye kichwa kichwa akaingia kuagizia vifaa vya radio na TV kumbe jamaa hamna kitu.
Matokeo yake TV na radio zake amemuuzia mwarabu wa WCB (Sallam) ambaye yupo partner na Fred Bundala (Sky-walker) na kuziita Dizzim TV na Dizzim FM
Za chini ya kapeti zinadai sasa hivi Mosha na Le Mutuz iiiih ni paka na chui kabsa yaani hawaendani!
Matokeo yake TV na radio zake amemuuzia mwarabu wa WCB (Sallam) ambaye yupo partner na Fred Bundala (Sky-walker) na kuziita Dizzim TV na Dizzim FM
Za chini ya kapeti zinadai sasa hivi Mosha na Le Mutuz iiiih ni paka na chui kabsa yaani hawaendani!