Davido atajwa kashfa ya mauaji

kedrick

JF-Expert Member
Apr 25, 2015
5,058
4,865
Msanii wa kimataifa toka Nigeria Davido ametajwa moja kwa moja kuhusika na kifo cha rafiki yake aitwao Tagbo.

Katika maelezo yake ya mwanzoni Davido akiwa polisi alisema hausiki na kifo cha Tagbo na alichana na Tagbo mapema na hawajui marafiki waliotajwa kuwa pamoja na Tagbo katika dakika za mwisho cha kifo chake, japo mudumu wa kwenye party iyo alisema alimuona Davido akiwa na Tagbo mpaka usiku wa manene uku Tagbo akionekana amelewa na hajitambui.

Kanda video za CCTV toka hospitalini zimeonyesha gari jeupe la Davido likiutelekeza mwili wa Tagbo kwa kuutupa hospitalini uku marafiki wa Davido aliosema hawajui walionekana wakitenda ilo tukio na baadae gari ilo lilikutwa nyumbani kwa Davido kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Lagos, pia imesemekana Davido ndo aliotoa maelezo mwili wa Tagbo ukatupwe Hospitalini.

Katika tukio lingine marafiki wawili wa Davido waitwao Olugbem na Chime walikutwa wamekufa ndani ya gari ya BMW kwny garage uko Banana island.


4be9d0302a7b9825493f7b4f1f205cc7.jpg

Marehemu Tagbo na Davido enzi za uhai wake
 
Msanii wa kimataifa toka Nigeria Davido ametajwa moja kwa moja kuhusika na kifo cha rafiki yake aitwao Tagbo.

Katika maelezo yake ya mwanzoni Davido alisema hausiki na kifo cha Tagbo na alichana na Tagbo mapema na hawajui marafiki waliotajwa kuwa pamoja na Tagbo katika dakika za mwisho cha kifo chake, japo mudumu wa bar uhusika alisema alimuona Davido akiwa na Tagbo mpaka usiku wa manene uku Tagbo akionekana amelewa na hajitambui.

Kanda video za CCTV toka hospitalini zimeonyesha gari jeupe la Davido likiutelekeza mwili wa Tagbo kwa kuutupa hospitalini uku marafiki wa Davido aliosema hawajui walionekana wakitenda ilo tukio na baadae gari ilo lilikutwa nyumbani kwa Davido kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Lagos, pia imesemekana Davido ndo aliotoa maelezo mwili wa Tagbo ukatupwe Hospitalini.

Katika tukio lingine marafiki wawili wa Davido waitwao Olugbem na Chime walikutwa wamekufa ndani ya gari ya BMW kwny garage uko Banana island.


4be9d0302a7b9825493f7b4f1f205cc7.jpg

Marehemu Tagbo na Davido enzi za uhai wake

Hapa sababu kama siyo dhuluma ya Pesa iliyotokana na drugs ( dawa za kulevya ) basi itakuwa ni Mbunye / Kokwa hakuna zaidi ya hapo.
 
Mbona case iko partial....nani ni mjinga kiasi hicho afanye mauaji ni then atumie gari yake na atoke hapo akapark nyumbani. Enway police wafanye kazi yao
 
dah,kama ni kweli Tuhuma nzito sana hii....unaweza kujikuta upo ndani unanyea debe zaidi ya miaka 5,kwa sababu kwamba upelelezi haujakamilika...na mpaka kesi inaisha na hujakutwa na hatia tayari ashakuwa na mashabiki wengi sana wa muziki wake huko rumande!
 
Back
Top Bottom