kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,058
- 4,865
Msanii wa kimataifa toka Nigeria Davido ametajwa moja kwa moja kuhusika na kifo cha rafiki yake aitwao Tagbo.
Katika maelezo yake ya mwanzoni Davido akiwa polisi alisema hausiki na kifo cha Tagbo na alichana na Tagbo mapema na hawajui marafiki waliotajwa kuwa pamoja na Tagbo katika dakika za mwisho cha kifo chake, japo mudumu wa kwenye party iyo alisema alimuona Davido akiwa na Tagbo mpaka usiku wa manene uku Tagbo akionekana amelewa na hajitambui.
Kanda video za CCTV toka hospitalini zimeonyesha gari jeupe la Davido likiutelekeza mwili wa Tagbo kwa kuutupa hospitalini uku marafiki wa Davido aliosema hawajui walionekana wakitenda ilo tukio na baadae gari ilo lilikutwa nyumbani kwa Davido kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Lagos, pia imesemekana Davido ndo aliotoa maelezo mwili wa Tagbo ukatupwe Hospitalini.
Katika tukio lingine marafiki wawili wa Davido waitwao Olugbem na Chime walikutwa wamekufa ndani ya gari ya BMW kwny garage uko Banana island.
Marehemu Tagbo na Davido enzi za uhai wake
Katika maelezo yake ya mwanzoni Davido akiwa polisi alisema hausiki na kifo cha Tagbo na alichana na Tagbo mapema na hawajui marafiki waliotajwa kuwa pamoja na Tagbo katika dakika za mwisho cha kifo chake, japo mudumu wa kwenye party iyo alisema alimuona Davido akiwa na Tagbo mpaka usiku wa manene uku Tagbo akionekana amelewa na hajitambui.
Kanda video za CCTV toka hospitalini zimeonyesha gari jeupe la Davido likiutelekeza mwili wa Tagbo kwa kuutupa hospitalini uku marafiki wa Davido aliosema hawajui walionekana wakitenda ilo tukio na baadae gari ilo lilikutwa nyumbani kwa Davido kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Lagos, pia imesemekana Davido ndo aliotoa maelezo mwili wa Tagbo ukatupwe Hospitalini.
Katika tukio lingine marafiki wawili wa Davido waitwao Olugbem na Chime walikutwa wamekufa ndani ya gari ya BMW kwny garage uko Banana island.
Marehemu Tagbo na Davido enzi za uhai wake