Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Mbunge wa Mbozi Magharibi,David Silinde ametamka bungeni leo kuwa iwapo tutashindwa kuwatoa CCM madarakani kwa kura basi tutawatoa kwa nguvu "tukishindwa kuwatoa kwa kura,tutawatoa kwa nguvu",alisema mh.Silinde.
Mh. huyo amesema hayo wakati akichangia taarifa ya kamati ya bunge ya bajeti ,taarifa ya kamati ya bunge ya LAC na taarifa ya kamati ya PAC.
Katika hatua nyingine, mh.Silinde ametoa kali kwa kusema bungeni kuwa iwapo mafisadi wote watakamatwa basi vikao vya CCM havitafanyika kwa kukosa akidi.
Hii ni baada ya taarifa ya ufisadi uliokithiri katika halmashauri na maeneo mengine nchini kuwekwa wazi katika taarifa za kamati hizo bungeni.
MY TAKE:
Nasubiri kusikia wabunge wa CCM wakiomba muongozo kwa spika juu ya kauli hii ingawa binafsi naunga mkono kauli hiyo ya mh.Silinde.
Mh. huyo amesema hayo wakati akichangia taarifa ya kamati ya bunge ya bajeti ,taarifa ya kamati ya bunge ya LAC na taarifa ya kamati ya PAC.
Katika hatua nyingine, mh.Silinde ametoa kali kwa kusema bungeni kuwa iwapo mafisadi wote watakamatwa basi vikao vya CCM havitafanyika kwa kukosa akidi.
Hii ni baada ya taarifa ya ufisadi uliokithiri katika halmashauri na maeneo mengine nchini kuwekwa wazi katika taarifa za kamati hizo bungeni.
MY TAKE:
Nasubiri kusikia wabunge wa CCM wakiomba muongozo kwa spika juu ya kauli hii ingawa binafsi naunga mkono kauli hiyo ya mh.Silinde.