KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nemshanga tena huyu ni Profesa David Mwakyusa kusema eti vyama visivyo shinda chaguzi zozote nibora vifutwe!
Namimi nauliza kuna haja gani ya kuwepo bungeni mtu ambaye alishakuwa Waziri Kamili anaongoza Wizara na akashindwa kuendesha Wizara sinibora akavuliwa hata uanachama ili naubunge aukose! Mtu kama huyu ni mzigo kwa ccm.
Namimi nauliza kuna haja gani ya kuwepo bungeni mtu ambaye alishakuwa Waziri Kamili anaongoza Wizara na akashindwa kuendesha Wizara sinibora akavuliwa hata uanachama ili naubunge aukose! Mtu kama huyu ni mzigo kwa ccm.