David Mwaibula, aliyebuni mistari ya daladala Dar es salaam yupo wapi?

Naona unampigia chapuo, huna maslahi binafsi kweli.
Pili; Ungekuja na hoja inayoshawishi na siyo kulinganisha mambo ya serikali na ya chama
Mdau nimetoa kamfano tu kwa Ndg Mangula nina maanisha ila tukubali tukatae hata kama Ndg Mabula alikuwa na mapungufu yake lakini aliifanya ile kazi kwa moyo na kwa ufanisi tofauti na sasa hakuna ubunifu wamrudishe tu kwa kweli aje alete mwelekeo naona hawa wapo kiofisi zaidi kutatua kero za wananchi ziro.
 
hivi nilini mwaibula alikuwa SUMATRA ?
Kwani alikuwa wapi mdau hukohuko alipokuwepo wamrejeshe tu alibuni ruti mpya, alikuwa akifuatilia kero za barabarani yeye mwenyewe pasipokusubiri aje aletewe ofisin, makonda na madereva angalao walikuwa wakivaa vizuri enzi zake siku hizi kuna dala dala ukipanda umekaa ndani unaona chini kwenye lami gari viti ndio usiseme kuna njia zipo vizuri zina vituo vya daladala abiria wapo tena wengi, lakini usafiri wa daladala hakuna zipo bajaji na wanajipangia bei wanavyotaka ukiuliza sumatra unapewa majibu hawautambui usafiri wa bajaji kwa hivyo hawawezi kuwapangia bei
Huwa najiwazia kwa sauti hizi bajaji zinamilikiwa na nani au za wakubwa? Na ni kwa nini sumatra hawataki kupeleka maeneo husika usafiri wa uma kama daladala ilhali watu wapo tena wengi barabara ya lami ipo vituo vya daladala vipo kuna nini nyuma ya pazia? Aheri angelikuwapo Mwaibula hili kwake lilikuwa jambo dogo sana na siku nyingi angekuwa ameshalitatua kuna maeneo watu wanaishi yaani utafikiri hamna uongozi kila unapokwenda ni matumaini tu ya maneno pasipo vitendo bora ya huyu Mzee alikuwa anatenda kwa vitendo.
 
Nimemkumbuka sana leo huyu mzee moja ya watu walotikisa sekta ya usafirishaji Dar es Salaam, ukisikia chizi amekabidhiwa rungu ndo ilikuwa hivo hakuna maneno mengine zaidi ya hiyo.

Madereva wa daladala kipindi hiko waliwapenda trafic kuliko hyu mtu, kazi yake kubwa ilikuwa ni kushinda barabarani na kupambna na wavunja sheria hasa dala dala, moja ya watu ambao nilifkiri angekuja kuwa Mkuu wa mkoa hasa Dsm.

Salamu kokote ulipo mzee Mwaibula.
 
Nimemkumbuka sana leo huyu mzee moja ya watu walotikisa sekta ya usafirishaji Dar es Salaam, ukisikia chizi amekabidhiwa rungu ndo ilikuwa hivo hakuna maneno mengine zaidi ya hiyo.

Madereva wa daladala kipindi hiko waliwapenda trafic kuliko hyu mtu, kazi yake kubwa ilikuwa ni kushinda barabarani na kupambna na wavunja sheria hasa dala dala, moja ya watu ambao nilifkiri angekuja kuwa Mkuu wa mkoa hasa Dsm.

Salamu kokote ulipo mzee Mwaibula.

Ameshajizeekea zake sasa hivyo mwacheni apumzike kwani amefanya yake makubwa katika Sekta nzima ya Usafirishaji na sasa imetosha.
 
Nimemkumbuka sana leo huyu mzee moja ya watu walotikisa sekta ya usafirishaji Dar es Salaam, ukisikia chizi amekabidhiwa rungu ndo ilikuwa hivo hakuna maneno mengine zaidi ya hiyo.

Madereva wa daladala kipindi hiko waliwapenda trafic kuliko hyu mtu, kazi yake kubwa ilikuwa ni kushinda barabarani na kupambna na wavunja sheria hasa dala dala, moja ya watu ambao nilifkiri angekuja kuwa Mkuu wa mkoa hasa Dsm.

Salamu kokote ulipo mzee Mwaibula.
Nikiona daladala zilivyopakwa rangi kuzitofautisha ziendako huwa nammiss. Huyu baba alikuwa mbunifu ile mbaya kwenye sekta ya transport za miji! Japo amepotea kwenye Media lakini ameacha cha kukumbukwa chenye manufaa
 
Mkwe wangu huyo. Yupo zake Sinza pale maeneo ya Mawela Bar.. Mtaa umepewa jina lake kutunuku kazi nzuri aliyoifanya (legacy). Kituo cha basi kinaitwa "Kwa Mwaibula".
 
Nimemkumbuka sana leo huyu mzee moja ya watu walotikisa sekta ya usafirishaji Dar es Salaam, ukisikia chizi amekabidhiwa rungu ndo ilikuwa hivo hakuna maneno mengine zaidi ya hiyo.

Madereva wa daladala kipindi hiko waliwapenda trafic kuliko hyu mtu, kazi yake kubwa ilikuwa ni kushinda barabarani na kupambna na wavunja sheria hasa dala dala, moja ya watu ambao nilifkiri angekuja kuwa Mkuu wa mkoa hasa Dsm.

Salamu kokote ulipo mzee Mwaibula.
Ndiye aliyebuni rangi za njia za daladala na kuzifanya zieleweke kwa uraisi.Tungekuwa na wabunifu wengi kama yeye mambo mengi yangeeleweka kirahisi
 
Wadau, najua mtakuwa mnamkumbuka sana huyu "mheshimiwa" kwa style aliyokuja nayo ya kupiga ufito wa rangi tofauti tofauti kwa kila daladala za jijini ili iwe rahisi kwa abiria kutambua gari husika linapoishia kitu ambacho mikoa mingine ilikuja ikaiga. Pongezi zake...!


Lakini ilikuaje akapoteza nafasi yake na kupewa mtu mwengine?

Na je, mchango wake haukuwa "effective" to the extend of being withdrawn?

Where his he ryt now?
 
Wadau, najua mtakuwa mnamkumbuka sana huyu "mheshimiwa" kwa style aliyokuja nayo ya kupiga ufito wa rangi tofauti tofauti kwa kila daladala za jijini ili iwe rahisi kwa abiria kutambua gari husika linapoishia kitu ambacho mikoa mingine ilikuja ikaiga. Pongezi zake...!


Lakini ilikuaje akapoteza nafasi yake na kupewa mtu mwengine?

Na je, mchango wake haukuwa "effective" to the extend of being withdrawn?

Where his he ryt now?
 
Back
Top Bottom