David Mwaibula, aliyebuni mistari ya daladala Dar es salaam yupo wapi?

Huyu Mwaibula alifanya kazi ya kusimamia na kubuni njia mbalimbali ili kupunguza foreni na kutumia gharama ndogo kusafiri.Mfano alibuni njia ndefu kama kutoka G'lamboto Ubungo,Mbagala mwenge,n.k.Alikuwa na mikakati mingi mizuri.Je jembe hili limetupwa wapi na mpini wake?
 
kwisha habari yake kaka mwai sasa hivi ni mwanaharakati wa foleni dar chezea sumatra wewe!
 
umaarufu wake ungemfunika wa kikwete kama livyonyamazishwa lowassa na magufuli...ila jamaa alikuwa mchapakazi na mbunifu ila sijui kama alikuwa hapokei mlungula maana behind ukali kunakuwaga na mambo yake especially zama hizi za rushwa...na usishangae ukisikia anagombea ubunge kwa tiketi ya ccm vilevile..
 
umaarufu wake ungemfunika wa kikwete kama livyonyamazishwa lowassa na magufuli...ila jamaa alikuwa mchapakazi na mbunifu ila sijui kama alikuwa hapokei mlungula maana behind ukali kunakuwaga na mambo yake especially zama hizi za rushwa...na usishangae ukisikia anagombea ubunge kwa tiketi ya ccm vilevile..

Ni kweli kaka.Jamaa huyu alikuwa kiboko.Angemfunika JK,Alifaa apewe nafasi kubwa kwa uchapa kazi wake.Ila kwakuwa serikali yetu wanapenda viongozi goigoi ndo hapooo.
 
Alikimbiwa na mke wake wa ndoa kwa kuwa mke alibaini kuwa Mwaibula ana mla binti yao wa kumzaa. Nenda maeneo ya Sinza Lion utapata mkanda mzima, shame on the big dude
 
Huyu Mwaibula alifanya kazi ya kusimamia na kubuni njia mbalimbali ili kupunguza foreni na kutumia gharama ndogo kusafiri.Mfano alibuni njia ndefu kama kutoka G'lamboto Ubungo,Mbagala mwenge,n.k.Alikuwa na mikakati mingi mizuri.Je jembe hili limetupwa wapi na mpini wake?

Yah man, bongo ukiwa creative na innovative wanakupiga na chini, nilipata kumsikiliza mipango ilivyokuwa, that papa had brilliant ideas. Ila maungozi yetu sasa! ukichunguza hadi mkuu wa mkoa huenda alimwonea wivu kwa kuwa maarufu kiutendaji na sio kisiasa, si unajua ukiwa maarufu kiutendaji wanasiasa kimaandazi wanachukia! wanataka wao tu na uongo wao ndo vidumu, nyambaf.Wataalamu wanaonekana madaktari, si juzu tu tumeona!?
 
Nimemsikia Mwaibula akiongelea kuhusu ongezeko la nauli za daladala.

Kwa maoni yangu naona alikua anafanya siasa kuliko kuangalia hali halisi ya daladala kama biashara. Kwa kumbukumbu yangu Mwaibula sio mtaalam wa usafiri kwa hiyo sio 'authority' kwenye fani hiyo.

Ni kweli alikua mwenyekiti wa mamlaka ya leseni mkoa wa DSM lakini tunaojua mengi ya mambo yaliyofanyika kuhusu utaratibu wa njia ulioanzishwa chini yake ilikua ni ushauri wa wataalam.

Anaponikera ni pale anapopinga ongezeko la nauli kwa daladala huku akijisifu kwa miaka saba ya uenyekiti wake nauli haikuongozeka bila ya kuelezea kilio cha wenye daladala wakati huo kuhusu kupanda kwa gharama na kiwango duni cha huduma kutokana na wenye daladala kushindwa kuweka magari katika hali nzuri.

Dai lake kwamba daladala za route ndefu zinaingiza hela nyingi kwa kushuka na kupanda abiria mara nyingi sio sahihi. Ukifanya utafiti utakuta abiria wanaopanda magari hayo asilimia 75 wanafika mwisho wa safari hivyo kusafirishwa kwa bei ya hasara kabisa.
 
Mie napendekeza kiwango cha chini cha gharama za dala dala kiwe Tshs. 1,000/= probably watanzania mwaweza shtuka kuwa manakopelekwa siko.
Kwa sasa ni vyema mkawa wapole muendelee ku-enjoy "maisha bora kwa kila mdanganyika".
 
Mie napendekeza kiwango cha chini cha gharama za dala dala kiwe Tshs. 1,000/= probably watanzania mwaweza shtuka kuwa manakopelekwa siko.
Kwa sasa ni vyema mkawa wapole muendelee ku-enjoy "maisha bora kwa kila mdanganyika".

True, mi hata wakiweka buku tano kituo hadi kituo sawa tu, hapo ndio watu watajua CCM sio
 
Kazi ya hazina ni kukusanya kodi na kodi ndiyo inaongoza maendeleo ya nchi.Serikali itoe ruzuku kwa mahitaji muhimu ya mtanzania . Lipia mafuta,Punguza gharama za liseni nk
 
True, mi hata wakiweka buku tano kituo hadi kituo sawa tu, hapo ndio watu watajua CCM sio
Juzi ewura ulikataa kuongeza umeme na unapunguza bei ya vimiminika na huku Sumatra inaongeza nauli mbona hamkai pamoja mkapanga mkakati wa kunusuru mtanzania.Mfano mdogo nauli umfikirie (DSM) mtu anakaa Gongalamboto anafanya kibarua Bunju na mshahara wake laki moja.je atamudu?Kuna myanya nyingi ya kupata kodi ila ubunifu hakuna mfano :Wizara ya Ardhi-Makazi mengi hayajapimwa na yanafanya biashara hayalipi kodi hadi magorofa yako mabondeni EWURA pamoja na kodi unazokata kuna makandarasi wa umeme na maji hawalipi kodi zako , una mafundi na wahandisi ambao inatakiwa uwasajili na walipe kodink Tafazari muwe wabunifu
 
Nimemsikia Mwaibula akiongelea kuhusu ongezeko la nauli za daladala. Kwa maoni yangu naona alikua anafanya siasa kuliko kuangalia hali halisi ya daladala kama biashara. Kwa kumbukumbu yangu Mwaibula sio mtaalam wa usafiri kwa hiyo sio 'authority' kwenye fani hiyo. Ni kweli alikua mwenyekiti wa mamlaka ya leseni mkoa wa DSM lakini tunaojua mengi ya mambo yaliyofanyika kuhusu utaratibu wa njia ulioanzishwa chini yake ilikua ni ushauri wa wataalam.Anaponikera ni pale anapopinga ongezeko la nauli kwa daladala huku akijisifu kwa miaka saba ya uenyekiti wake nauli haikuongozeka bila ya kuelezea kilio cha wenye daladala wakati huo kuhusu kupanda kwa gharama na kiwango duni cha huduma kutokana na wenye daladala kushindwa kuweka magari katika hali nzuri.Dai lake kwamba daladala za route ndefu zinaingiza hela nyingi kwa kushuka na kupanda abiria mara nyingi sio sahihi. Ukifanya utafiti utakuta abiria wanaopanda magari hayo asilimia 75 wanafika mwisho wa safari hivyo kusafirishwa kwa bei ya hasara kabisa.
me nalia na huduma mbovu za kwenye vyombo vya usafiri,nauli zimepanda lakini mvua ikinyesha upo ndani ya chombo cha usafiri kama upo chin ya MPAPAI
 
Kipindi cha mwaibula watumiaji wa usafiri wauma (daladala)tulipata nafuu/uhakika wa usafiri wa daladala kwani daladala zilikuwa hazikatishi ruti gari ilivyo andikwa ndo inapoenda kuanzia mwanzo wa kituo hadi mwisho kama ni Gongolamboto-mwenge inakuwa hivyo hivyo nowdays daladala zinakatisha ruti kwa makusudi bila kuchukuliwa hatua yoyote.Mfano jana mapema kabisa saa 7 nimepanda daladala ya bugurun mbezi nimepanda wametucharge bugurun ubungo sh400 kufika ubungo 2kashushwa hapo hapo wakatangaza mbez 2kapanda ruti ya mia 500 tukatozwa sh800.jamani mwaibula na vijana wako tunaomba mrudi maskini Dar 2nanyanyaswa/tunabanwa kila kona.
 
Back
Top Bottom