Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,390
- 5,310
Mkuu wa mkoa wa Simiyu bwana David Kafulila wakati akitambulishwa kwa wakazi wa Simiyu amewasifu kwa uchapakazi na kusema wao siyo watu wa kulalamika, kwao ni kazi tu.
Bwana Kafulila amesema kabila la wasukuma kwa sasa wako kila mahali nchi hii palipo na fursa wakichapa kazi na hata jimbo analotoka la Kigoma Kusini wamejaa na wamenunua maeneo makubwa wakilima kwa bidii sana.
Bwana Kafulila amesema anajivunia kuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu na kumuonya mtangulizi wake kuwa ataendelea kupokea vipigo kwenye nyanja zote kwenye mkoa wake mpya wa Dodoma.
Bwana Kafulila amesema kabila la wasukuma kwa sasa wako kila mahali nchi hii palipo na fursa wakichapa kazi na hata jimbo analotoka la Kigoma Kusini wamejaa na wamenunua maeneo makubwa wakilima kwa bidii sana.
Bwana Kafulila amesema anajivunia kuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu na kumuonya mtangulizi wake kuwa ataendelea kupokea vipigo kwenye nyanja zote kwenye mkoa wake mpya wa Dodoma.