Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,001
- 9,866
David Kafulila ametoa wito kwa watanzania kutumia vizuri mitandao kwa kuwa Rais Samia anapitia mitandao.
Amesema ikitokea Rais ametukanwa mtandaoni anaweza kuacha kusoma mambo mtandaoni kama alivyofanya Rais wa Kenya ambaye aliamua kuachana na mitandao ya kijamii.
Amesisitiza umuhimu wa kutumia mitanda kwa staha ili mawazo muhimu yaweze kufanyiwa kazi.
Amesema ikitokea Rais ametukanwa mtandaoni anaweza kuacha kusoma mambo mtandaoni kama alivyofanya Rais wa Kenya ambaye aliamua kuachana na mitandao ya kijamii.
Amesisitiza umuhimu wa kutumia mitanda kwa staha ili mawazo muhimu yaweze kufanyiwa kazi.