Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,467
- 40,971
Pole sana. Katafute hata darasa la ngumbaru, litakuinua kidogo kwenye uelewa. Inaonekana huelewi kabisa maana ya projection.Chesty,
Acha ujinga Basi. Mtu aliyeweka Malengo ya Tsh
30000 akapata tsh.29000, halafu katika mazingira hayo hayo mwingine akaweka malengo tsh.100000 akampana akapata 60000, kwa akili yako utasema wa tsh.29000 amefanikiwa kwa vile amekaribia kutimiza malengo. Simple, huyu ni Mvivu! Na kama.nyie ndo wachumi naanza kueleewa kwanini Africa tunaendelea kuwa wasindikizaji.