Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Hii imekaaje ?
Mtu anachaguliwa nafasi fulani, anafanya baada ya muda anajiuzulu kwenda kutafuta nafasi anayoitaka mwenyewe.
Cha kushangaza mtu huyo huyo teuzi nyingine zikifanyika unamuona kateuliwa tena. 🙄
Je, hakuna watu wengine au what's so special na hawa watu ?
Nadhani wakati wa kura za maoni ndani ya CCM mwaka 2024 tutegemee tena style hii hii.
Je, kwanini iko hivi ?
Mtu anachaguliwa nafasi fulani, anafanya baada ya muda anajiuzulu kwenda kutafuta nafasi anayoitaka mwenyewe.
Cha kushangaza mtu huyo huyo teuzi nyingine zikifanyika unamuona kateuliwa tena. 🙄
Je, hakuna watu wengine au what's so special na hawa watu ?
Nadhani wakati wa kura za maoni ndani ya CCM mwaka 2024 tutegemee tena style hii hii.
Je, kwanini iko hivi ?