LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Nimekerwa sana na kukatishwa kwa hoja alokuwa anachangia Dave Kafulila na Mbunge mmoja alokuwa akijidai kusahihisha juu ya hoja ya mashirika ya simu za mkononi kutolipa kodi pindi yanapobadilishwa au kuuzwa. Baada ya kukatishwa kuchangia Naibu spika kamwambia muda wake umeisha bila kujali interruption ya yule mbunge wa CCm. Hivi kweli tuajenga cha maana?