GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
David Kafulila ambaye ni mkuu wa mkoa wa Manyara kwa sasa akihojiwa na Wasafi TV Katika kipindi cha msumari wa moto ameulizwa swali :
Kwanini ccm bado ipo madarakani wakati vyama vingine vikongwe barani Afrika vimeshajifia?
Jibu la David Kafulila,Kushindana na ccm ni ngumu sana kwa wapinzani kwani ccm ni chama kinachobadilika badilika kulingana na mazingira na wakati, CCM ni ile ile lakini haifanani toka awamu moja kwenda nyingine
David Kafulila, CCM ya nyerere ni tofauti na ccm ya Mwinyi, CCM ya Mwinyi ni tofauti na ccm ya Mkapa, CCM ya Mkapa ni tofauti na ccm ya JK na ccm ya JK ni tofauti na ccm ya JPM lakini CCM ni ile ile,
David Kafulila, CCM ni flexible sana Katika bara la Afrika, Zinapoibuka hoja za rushwa kwa wakati fulani wanawaletea mtu ambaye hataki hata kusikia neno rushwa hivyo hoja za rushwa zinajifia kwa wapinzani
David Kafulila, likiibuka swala la uhuru wa habari na demokrasia wanawaletea mtu ambaye anabadili upepo ghafla kwa kuacha watu kujibu hoja wapendavyo na hivyo upinzani kukosa hoja
David Kafulila kushindana na ccm ni ngumu sana kwani kuna wakati hoja zinazoibuliwa na upinzani zinageuka hoja za ccm na kufanyiwa kazi kwa ufasaha
David Kafulila anasema, ccm inapambana kujibu hoja za wananchi kwa wakati na wala haishindani kujibu hoja za upinzani
Anasisitiza ccm ina wa swap wapinzani,:waliokuwa wapinzani wa nyerere wakaja kuwa marafiki wa Mwinyi, na Maadui wa Mwinyi wakawa marafiki wa Mkapa na Wapinzani wa Mkapa wakawa marafiki wa Kikwete na wapinzani wa kikwete wakawa marafiki wa JPM na wapinzani wa JPM ni marafiki wa Rais Samia
Kafulila anasema ccm in wa swap wapinzani hivyo hakuna kundi linaloitwa wapinzani tangu Nyerere mpaka Rais Samia kwani ccm ina wa swap kwa kubadilika badilika
Tujadili kwa hoja, Je ni kweli ccm ina badilika badilika kulingana na mazingira? na Je ccm is the most dynamic and Flexible part in Afrika ndio maana hakijafa kama vyama vingine barani Afrika?
Kwanini ccm bado ipo madarakani wakati vyama vingine vikongwe barani Afrika vimeshajifia?
Jibu la David Kafulila,Kushindana na ccm ni ngumu sana kwa wapinzani kwani ccm ni chama kinachobadilika badilika kulingana na mazingira na wakati, CCM ni ile ile lakini haifanani toka awamu moja kwenda nyingine
David Kafulila, CCM ya nyerere ni tofauti na ccm ya Mwinyi, CCM ya Mwinyi ni tofauti na ccm ya Mkapa, CCM ya Mkapa ni tofauti na ccm ya JK na ccm ya JK ni tofauti na ccm ya JPM lakini CCM ni ile ile,
David Kafulila, CCM ni flexible sana Katika bara la Afrika, Zinapoibuka hoja za rushwa kwa wakati fulani wanawaletea mtu ambaye hataki hata kusikia neno rushwa hivyo hoja za rushwa zinajifia kwa wapinzani
David Kafulila, likiibuka swala la uhuru wa habari na demokrasia wanawaletea mtu ambaye anabadili upepo ghafla kwa kuacha watu kujibu hoja wapendavyo na hivyo upinzani kukosa hoja
David Kafulila kushindana na ccm ni ngumu sana kwani kuna wakati hoja zinazoibuliwa na upinzani zinageuka hoja za ccm na kufanyiwa kazi kwa ufasaha
David Kafulila anasema, ccm inapambana kujibu hoja za wananchi kwa wakati na wala haishindani kujibu hoja za upinzani
Anasisitiza ccm ina wa swap wapinzani,:waliokuwa wapinzani wa nyerere wakaja kuwa marafiki wa Mwinyi, na Maadui wa Mwinyi wakawa marafiki wa Mkapa na Wapinzani wa Mkapa wakawa marafiki wa Kikwete na wapinzani wa kikwete wakawa marafiki wa JPM na wapinzani wa JPM ni marafiki wa Rais Samia
Kafulila anasema ccm in wa swap wapinzani hivyo hakuna kundi linaloitwa wapinzani tangu Nyerere mpaka Rais Samia kwani ccm ina wa swap kwa kubadilika badilika
Tujadili kwa hoja, Je ni kweli ccm ina badilika badilika kulingana na mazingira? na Je ccm is the most dynamic and Flexible part in Afrika ndio maana hakijafa kama vyama vingine barani Afrika?