Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
It is dangerous to be right when the government is wrong!Nimejikuta nakumbuka maneno hayo wakati nikikumbuka mapambano ya Kafulila sakata la Escrow!Lakini pia nikakumbuka Theodore Roosevelt aliyesema "Patriotism means to stand with the country,it does not mean to stand with the president"
Wakati wa sakata la Escrow,Kafulila aliweka maisha yake on a line kutetea maslahi ya nchi,hata pale ambapo Rais na serikali ya wakati huo walipokuwa against hoja zake!Aliishia kukejeliwa na mpaka kuitwa tumbili bungeni kwa kutetea maslahi ya wananchi!Ni watu wachache sana wanaweza jua hatari unayoweza kukutana nayo unapokiwa peke yako unapambania jambo lenye maslahi ya wananchi dhidi ya wenye nguvu!Kafulila hakutetereka wala kurudi nyuma kimsimamo!
Ccm na serikali wakaamua kwa namna yoyote ile,mbunge huyo hatarudi bungeni!Tuliokuwa kigoma tunajua mkurugenzi na Tume walivyomnyima ushindi wa wazi Kafulila,hii yote ilikuwa ni malipo sakata la Escrow!
Miaka miwili baadaye tunarudi pale pale,this time wanaopata credit ni watu wengine huku jemedari akisahaulika!Heshima kwako kafulila na hongera sana kwa kutetea nchi yako!Nikiangalia video hii,nakumbuka uzalendo wako!
Wakati wa sakata la Escrow,Kafulila aliweka maisha yake on a line kutetea maslahi ya nchi,hata pale ambapo Rais na serikali ya wakati huo walipokuwa against hoja zake!Aliishia kukejeliwa na mpaka kuitwa tumbili bungeni kwa kutetea maslahi ya wananchi!Ni watu wachache sana wanaweza jua hatari unayoweza kukutana nayo unapokiwa peke yako unapambania jambo lenye maslahi ya wananchi dhidi ya wenye nguvu!Kafulila hakutetereka wala kurudi nyuma kimsimamo!
Ccm na serikali wakaamua kwa namna yoyote ile,mbunge huyo hatarudi bungeni!Tuliokuwa kigoma tunajua mkurugenzi na Tume walivyomnyima ushindi wa wazi Kafulila,hii yote ilikuwa ni malipo sakata la Escrow!
Miaka miwili baadaye tunarudi pale pale,this time wanaopata credit ni watu wengine huku jemedari akisahaulika!Heshima kwako kafulila na hongera sana kwa kutetea nchi yako!Nikiangalia video hii,nakumbuka uzalendo wako!