Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
David Concar ameteuliwa kuwa balozi wa Uingereza nchini Tanzania ambaye ataanza majukumu hayo Mwezi Agosti 2020.
David Concar anachukua nafasi ya aliyekuwa balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke ambaye amepangiwa majukumu mengine ya kidiplomasia.
Kabla ya kuteuliwa kwenye nafasi hiyo, David Concar alikuwa ni Mkurugenzi wa Foreign & Commonwealth Office, FCO.
Change of British High Commissioner to Tanzania: August 2020
David Concar anachukua nafasi ya aliyekuwa balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke ambaye amepangiwa majukumu mengine ya kidiplomasia.
Kabla ya kuteuliwa kwenye nafasi hiyo, David Concar alikuwa ni Mkurugenzi wa Foreign & Commonwealth Office, FCO.
Change of British High Commissioner to Tanzania: August 2020