warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,375
Mara baada ya kutangaza kustaafu kucheza soka,david beckam ambaye kwa mara ya mwisho alichezea klabu ya paris saint-german ya ufaransa,yupo marekani na habari ni kuwa kuna uwezekano wa kujitosa kwenye filamu.TOM CRUISE ambaye yupo karibu na staa huyo amesema yupo tayari kumsaidia rafiki yake huyo kuingia kwenye uigizaji wa filamu."siku zote david alikuwa na ndoto za kuwa staa wa filamu,tom amemuaidi kumsaidia ili atimize ndoto zake" alisema rafiki wa karibu wa mastaa hao.