Yeah, imenibidi kuongea na jamaa zake wa karibu wakanifahamisha kuwa hata Ikulu na Gavana wa BoT wameshatumiwa taarifa. Anyway, kuna zaidi yanakuja!
Yeah, imenibidi kuongea na jamaa zake wa karibu wakanifahamisha kuwa hata Ikulu na Gavana wa BoT wameshatumiwa taarifa. Anyway, kuna zaidi yanakuja!
Kaka hakuna sifa kwenye masuala ya kifo! Kama kafa ni kafa tu. SIRI SIRI SIRI mean nothing when things will be out in no time....Nakuaminia Kaka, najua utakuwa umehakikisha, maana haufanyi mambo ya kukurupuka kama 'wengine wapenda masifa na unafiki' tulio nao hapa....
...i really don't know how to respond at this moment, only engulfed in shock!!!