Oh nilisahau kuwa hii slogan ya "JF where we dare to speak openly" haina mipaka!Mimi namtetea mleta hoja na ndiyo maana namtetea .Dau ana ambiwa kupitia hapa na wakubwa wengine wajue uozo wa pale wakae kimya tu lakini ijulikane kwa uwazi .
Wakuu JF is where we dare to speak openly au umesahau ?
Na vipi kuhusu kufuatwa kwa taratibu za kazini? kwa sababu naona mtoa mada amezikengeuka!