Mugishagwe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2006
- 300
- 58
Mimi naombea sana Anna Kilango ashindwe kuokoa wafanya kazi wa Legal Dept pale NSSF .Binti kaingia hapa kwa makeke akidai ana MSc toka Uk na wenzake wote wenye LLB ya Tanzania ni wajinga.Ni mgeni kazini hajui kazi lakini dharau kubwa na kujidai yeye mtoto wa Anna Kilango.Baada ya kuingia kwa dharau na kejeli kampata Omar Wa legal Dept wameanza mapenzi amefikia mahali pa kuweka msimamo wake wazi kwamba Kama anatumwa kazi za nje yaani mikoani lazima aende na dogo Omar kama hataweza kipewa Omar basi asitumwe nje.NSSF kwa mshangao kwa uoga gani sijui wame halalisha.Baada ya kuona mama yake anagombea UWT nimeingiwa na uoga mkubwa maana sijui sasa itakuwaje baada ya kupata.Tunatoka kusema ya Waislam na tabia zao toka zamani leo NSSF kuna watu wa aina hii kwa jina la mtoto wa Kigogo , Legal Dept wanajua na hawana pa kutokea na je Dau unayajua haya yanayo tokea kwenye himaya yako?Tunasema mapema uamue kuziba masikio mwenyewe na last week walikuwa wote Dodoma na kazi iliharibika