Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Huko Bukoba dau la umeya lilifikia 3-5 mil kwa kura. vigogo wakatafutana madiwani we gi wa CCM walifichwa Chato hotelini. Wachache walionekana wakitokea asubuhi ya jana kwa Mh Mbunge na vitita vyao. Hatimaye uchaguzi ukaendeshwa na Mh Anatoli Aman akaibuka kidedea. Ufisadi ni mtindo wa maisha kuukomesha lazima ubadilishe kabisa fikra za watu sijui TAKUKURU wanaweza hilo?