Mimi ninasoma mazingira kwanza, ninaangalia wengine wanafanya nini?Mimi kama kitu sikijui huwa siachi kuuliza ili nieleweke, nilikutana na mdada pini wa kiiraki, kumbe hajui hata kusoma,mimi nampigia vizuri kasheshe yeye kukupigia
Mimi ninasoma mazingira kwanza, ninaangalia wengine wanafanya nini?
Wapo wengi sana kama huyoMwanamama alijifanya mjuaji saana kumbe hata kuandika ni shida akiandika sms anachanganya herufi kubwa na ndogo, hakuna alama za uandishi, hatenganishi kati ya neno na neno, sentensi na sentensi, mbaya zaidi hajui hata kutiana aaaaarrrrrrggghhhhhh!!
....Kuna mmoja nilimpa simu aweke number, alishindwa hata pa kunzia kubonyeza.
Take me out SA....