Database ya Wabunge - A challenge to Wanaharakati!

Chapakazi

JF-Expert Member
Apr 19, 2009
2,874
310
Hili wazo limenijia leo na nadhani lingekuwa challenge nzuri kwa wanaharakati.

Mnaonaje kama tukianzisha database ya wabunge, kwa kusudi la ku-keep track na michango yao na kura zao bungeni. Hii database itasaidia kujua msimamo wa mbunge juu ya ishu fulani na jinsi walivyopiga kura katika hiyo ishu!

Kwa mfano, ikitoka hoja ya kumchagua spika...kujua ni wabunge gani walimchagua X na kwa nini. Halafu tunawapa ripoti wananchi...kwa kusudi la kufanya maamuzi bora kwenye uchaguzi ujao. Hii itasaidia kufanya bunge liwe wazi na ufanisi zaidi!
 
Hili ni wazo zuri sana.

Data Base itatusaidia kufuatilia kila kitu KUHUSU MBUNGE MMOJA MMOJA kwa ukaribu na undani zaidi.
Data Base hata isipo orodhesha kila kitu alicho fanya Mbunge huyo in Detail ni vema iwe na Leads za kumpeleka mtu kusoma zaidi kuhusu jambo hilo Mahali fulani.

On top of that ingekuwa Vema kuwa na DATA BASE YA MAJIMBO YOTE YA KUPIGA KURA NA VITUO VYA KUPIGIA KURA ili 2015 data base hiyo iwe Tayari kabisa kuwekwa namba kwa jinsi uchaguzi unavyendelea.
Hii itasaidia pia kujua weakness ambazo NEC wanatake Advantage na kutuliza nazo na pengine hata kuweza kutoa ushauri wa kisayansi baada ya kuifanyia analysis Database yetu.

Kwa wale wataalamu wa DATAbase mna ushauri gani kuhusu wazo hili??


Edward Lowassa- MBUNGE Monduli

SHULE
UDSM- SHAHADA YA TAMTHILIA
Kazi
AICC

Waziri Mkuu

TUHUMA/KASHFA

11 BOYS LIST OF SHAME
RICHMONDULI SAGA.
 
Hili ni wazo zuri sana.

Data Base itatusaidia kufuatilia kila kitu KUHUSU MBUNGE MMOJA MMOJA kwa ukaribu na undani zaidi.
Data Base hata isipo orodhesha kila kitu alicho fanya Mbunge huyo in Detail ni vema iwe na Leads za kumpeleka mtu kusoma zaidi kuhusu jambo hilo Mahali fulani.

On top of that ingekuwa Vema kuwa na DATA BASE YA MAJIMBO YOTE YA KUPIGA KURA NA VITUO VYA KUPIGIA KURA ili 2015 data base hiyo iwe Tayari kabisa kuwekwa namba kwa jinsi uchaguzi unavyendelea.
Hii itasaidia pia kujua weakness ambazo NEC wanatake Advantage na kutuliza nazo na pengine hata kuweza kutoa ushauri wa kisayansi baada ya kuifanyia analysis Database yetu.

Kwa wale wataalamu wa DATAbase mna ushauri gani kuhusu wazo hili??


Edward Lowassa- MBUNGE Monduli

SHULE
UDSM- SHAHADA YA TAMTHILIA
Kazi
AICC

Waziri Mkuu

TUHUMA/KASHFA

11 BOYS LIST OF SHAME
RICHMONDULI SAGA.


nimeachwa hoi kwenye shahada hapo...ya kweli hao?
 
It's a superb idea. I'm a computer scientist and part of my job is to develop and maintain database management systems.

This can be implemented using LAMP(Linux, Apache, MySQL, PHP) Technology from the technical point of view.

From the user point of view, having developed a database that can accommodate basic MP info (name, constituency, picture, education, whole profile), registered users may fill an automated form every time they need to update a particular MP's table.

You can include the date, the motion at hand, his/her contribution, the outcome of the motion/bill, links to media sources that wrote on the particular issue etc.

There's room to improve the idea put that's one of the scenarios.
 
Siku tukiwa na waandishi wa habari makini, hiyo ndiyo kazi yao...
 
Hili wazo limenijia leo na nadhani lingekuwa challenge nzuri kwa wanaharakati.

Mnaonaje kama tukianzisha database ya wabunge, kwa kusudi la ku-keep track na michango yao na kura zao bungeni. Hii database itasaidia kujua msimamo wa mbunge juu ya ishu fulani na jinsi walivyopiga kura katika hiyo ishu!

Kwa mfano, ikitoka hoja ya kumchagua spika...kujua ni wabunge gani walimchagua X na kwa nini. Halafu tunawapa ripoti wananchi...kwa kusudi la kufanya maamuzi bora kwenye uchaguzi ujao. Hii itasaidia kufanya bunge liwe wazi na ufanisi zaidi!
Ni wazo zuri sana, Maana hata Chenge alifikiri watu wamesahau Uovu wake akanza kunyosha vidole kwa Sita. Tukiwa na data base mtu akichemka au akituhumiwa kwa uongo ni rahisi ku-retrieve na kupata Ukweli. Shida ni hapo kwenye blue, kura ni siri, tutajuaje nani kampigia nani?
 
Ni wazo zuri sana, Maana hata Chenge alifikiri watu wamesahau Uovu wake akanza kunyosha vidole kwa Sita. Tukiwa na data base mtu akichemka au akituhumiwa kwa uongo ni rahisi ku-retrieve na kupata Ukweli. Shida ni hapo kwenye blue, kura ni siri, tutajuaje nani kampigia nani?

Kura ni siri bungeni? Basi tunaweza kumuuliza badae kujua hili...au kutoa muelekeo wako nako hakuruhusiwi?
 
It's a superb idea. I'm a computer scientist and part of my job is to develop and maintain database management systems.

This can be implemented using LAMP(Linux, Apache, MySQL, PHP) Technology from the technical point of view.

From the user point of view, having developed a database that can accommodate basic MP info (name, constituency, picture, education, whole profile), registered users may fill an automated form every time they need to update a particular MP's table.

You can include the date, the motion at hand, his/her contribution, the outcome of the motion/bill, links to media sources that wrote on the particular issue etc.

There's room to improve the idea put that's one of the scenarios.

hii safi...kwa hiyo its possible! itabidi tuzidi kuwasiliana!
 
Na wananchi wanatakiwa kuwa na contact na mbunge wao! Ivi sio lazima kwa kila mbunge kuwa na ofisi jimboni kwake?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom