Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Serikali ya wanafunzi UDSM inaungana na wananchi kudai katiba mpya.
Rais wa DARUSO bw Mathiasi Kipala amesema hivi karibuni wataichambua katiba iliyopo na kuandika 'katiba' wanayoitaka na kuiomba serikali kuifanyia kazi.
Bw.Mathias aliipinga kauli ya A.G na kusema ni vema kuwe na katiba mpya itakayokidhi mahitaji.
UDOM mmeyasikia hayo?tunasubiri tamko lenu.
Rais wa DARUSO bw Mathiasi Kipala amesema hivi karibuni wataichambua katiba iliyopo na kuandika 'katiba' wanayoitaka na kuiomba serikali kuifanyia kazi.
Bw.Mathias aliipinga kauli ya A.G na kusema ni vema kuwe na katiba mpya itakayokidhi mahitaji.
UDOM mmeyasikia hayo?tunasubiri tamko lenu.