DART: Mwendokasi kununua Magari ya 4WD ni matumizi mabaya ya fedha

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Nov 24, 2012
2,977
1,897
Ni miezi kadhaa sasa imepita DART walitangaza kupata hasara. Leo kupitia gazeti la mwananchi nimekuta wametoa tenda ya extension ya mradi wa phase one na kututangaza kununua magari ya 4WD hardtop, Nikajiuliza hivi kwa barabara zetu za hapa Dar, Dart wana haja ya kununua magari ya aina hii? Au wamepania kupiga na kuzifisadi pesa za mkopo waliyopewa na Africa Development Bank? Arafu sijajui ni mkopo ule ama wameongeza mwingine tena . Hebu mwenye detail atueleze. Haya haya matumizi mabaya ya pesa yalifanya makampuni baadhi ya ulaya kipindi cha 2013 kufilisika kwasababu wakurugenzi walikuwa wanamatumizi mabaya ya pesa. Sasa nina hisia baada ya ufisadi kubanwa naona kama Dart wanaenda extramile ufisadi.
 
Ni miezi kadhaa sasa imepita DART walitangaza kupata hasara. Leo kupitia gazeti la mwananchi nimekuta wametoa tenda ya extension ya mradi wa phase one na kututangaza kununua magari ya 4WD hardtop, Nikajiuliza hivi kwa barabara zetu za hapa Dar, Dart wana haja ya kununua magari ya aina hii? Au wamepania kupiga na kuzifisadi pesa za mkopo waliyopewa na Africa Development Bank? Arafu sijajui ni mkopo ule ama wameongeza mwingine tena . Hebu mwenye detail atueleze. Haya haya matumizi mabaya ya pesa yalifanya makampuni baadhi ya ulaya kipindi cha 2013 kufilisika kwasababu wakurugenzi walikuwa wanamatumizi mabaya ya pesa. Sasa nina hisia baada ya ufisadi kubanwa naona kama Dart wanaenda extramile ufisadi.
Ukishaambiwa extension ya mradi wa phase one maana yake,kile kipande cha kuanzia grezani/shule ya uhuru hadi mbagala kinaanza kujengwa
Hizo 4WD hardtop ni za ma engineer kwa ajili ya kuendea site.Ma engineer wanapokagua site wanatumia bararabara hiyo hiyo inayojengwa,iwe imetifuliwa au ina mawe.
Huwezi kumnunulia engineer wa barabara Passo!,na hela yote hiyo imo katika package ya huo mkopo wa ADB au world bank na ni masharti ya mkopo mnunue 4WD na sio Vits
 
Ni miezi kadhaa sasa imepita DART walitangaza kupata hasara. Leo kupitia gazeti la mwananchi nimekuta wametoa tenda ya extension ya mradi wa phase one na kututangaza kununua magari ya 4WD hardtop, Nikajiuliza hivi kwa barabara zetu za hapa Dar, Dart wana haja ya kununua magari ya aina hii? Au wamepania kupiga na kuzifisadi pesa za mkopo waliyopewa na Africa Development Bank? Arafu sijajui ni mkopo ule ama wameongeza mwingine tena . Hebu mwenye detail atueleze. Haya haya matumizi mabaya ya pesa yalifanya makampuni baadhi ya ulaya kipindi cha 2013 kufilisika kwasababu wakurugenzi walikuwa wanamatumizi mabaya ya pesa. Sasa nina hisia baada ya ufisadi kubanwa naona kama Dart wanaenda extramile ufisadi.
Toa maelezo ya kitaalam pia ueleweke, kuna "hasara" gani kununua hizo 4WD hardtops kwa barabara za Dar? Tueleze tujue kwanza, sio kila mtu ana mtazamo wa "kujua" hizo 4WD hardtops kama wewe.
 
Labda kwa namna hiyo ada ya watoto chuo kikuu inaweza kupatikana si wametengwa na bodi kana kwamba wakigraduate watafanya kazi za nyumbani kwao
 
Toa maelezo ya kitaalam pia ueleweke, kuna "hasara" gani kununua hayo mabasi ya 4WD hardtops kwa barabara za Dar? Tueleze tujue kwanza, sio kila mtu ana mtazamo wa "kujua" hizo 4WD hardtops kama wewe.
Umelisoma tangazo vizuri au umedandia treni kwa mbele?hayazungumziwi mabasi hapa au tayari umeshapata viroba
 
Umelisoma tangazo vizuri au umedandia treni kwa mbele?hayazungumziwi mabasi hapa au tayari umeshapata viroba
Kwa nini usielekeze taratibu, hasira za nini?? Nilikosea typing kwenye ubongo, iko sawa sasa. Haya lete maelezo ueleweke/ aeleweke!
 
uliza tena kamanda,umevurunda,4WD buses,kwingine hardtop,uliza upya

Wewe umesoma uzi huu, na baada ya kukwambia iko sawa sasa umeisoma tena?? Au unataka uliyoni-quote wewe nayo ibadilike?? Nimekwambia original comment ya kwangu nimeirekebisha, nini huelewi hapa?? Okei, hii hapa chini!!

Toa maelezo ya kitaalam pia ueleweke, kuna "hasara" gani kununua hizo 4WD hardtops kwa barabara za Dar? Tueleze tujue kwanza, sio kila mtu ana mtazamo wa "kujua" hizo 4WD hardtops kama wewe.

Haua, toa maelezo au msaidie mleta uzi.
 
Back
Top Bottom