Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,178
Wanabodi!
leo tunapo sherehekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru, ni maadhimisho ya Tanzania, japo iliyopata uhuru ile Desemba 9, ni Tanganyika na sio Tanzania, maadhimisho ya leo ni maadhimisho ya Tanzania, yaani Tanzanian National Day, na sio Tanganyika. Kumbukumbu ndio ya Uhuru wa Tanganyika lakini maadhimisho na sherehe ni ya uhuru wa Tanzania!.
Kufuatia baadhi ya watu kuwa kwenye sintofahamu ni maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika ama Tanzania?.
Hivyo nimejitolea kutoa somo hili ambalo naamini litakuwa ni very benefisho kwako.
Nawatakia sikukuu njema ya Uhuru na Jamhuri.
Paskali
Update;
Kiukweli humu jf, tuna vilaza wengi kuliko tunavyo jidhania!. Watu ni wazito kuelewa mpaka basi!.
You are absolutely right, kumbukumbu ni za uhuru wa nchi iliyokuwa Tanganyika, lakini maadhimisho ni maadhimisho ya uhuru wa Tanzania!.
Kuna mambo mawili.
1. Kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika.
2. Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania ambayo hapo zamani ilikuwa Tanganyika.
Sasa najaribu kukuelewesha kwa kutumia kiwango cha chekechea, usipoelewa sasa, utanisamehe bure.
Mfano,
P.
leo tunapo sherehekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru, ni maadhimisho ya Tanzania, japo iliyopata uhuru ile Desemba 9, ni Tanganyika na sio Tanzania, maadhimisho ya leo ni maadhimisho ya Tanzania, yaani Tanzanian National Day, na sio Tanganyika. Kumbukumbu ndio ya Uhuru wa Tanganyika lakini maadhimisho na sherehe ni ya uhuru wa Tanzania!.
Kufuatia baadhi ya watu kuwa kwenye sintofahamu ni maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika ama Tanzania?.
Hivyo nimejitolea kutoa somo hili ambalo naamini litakuwa ni very benefisho kwako.
Wajameni ni katika kukumbushana tuu kuwa maadhimisho ya leo ni ya Uhuru wa Tanzania, na sio wa Tanganyika!.Wanabodi, leo ni tunasherehekea miaka 60 ya uhuru wa Tanzania na sio Tanganyika, kwa sababu maandimisho ni present, kilichopo sasa!, japo ni kweli iliyopata uhuru ni Tanganyika, which doesn't exist any more, kilichopo sasa ni Tanzania, tunasherehekea uhuru wa Tanzania.
Jee wewe mkuu usomae hapa, ile siku ulipozaliwa, jee unajua ulizaliwa bila jina?, unaposherehekea siku yako ya kuzaliwa, jee unasherehekea siku ya kuzaliwa yule mtoto aliyezaliwa siku ile bila jina, au huyu aliyepo mwenye jina?!.
Na kama ni mwanamke, anakuwa na Maiden Name, akiolewa ana change name, kuasume jina la mumewe, tuseme umeolewa na Pasco, hiyo, sasa ameolewa anaitwa Mrs. Pasco, siku ya kuadhimisha birthday yako tutaadhimisha siku ya kuzaliwa ya Mrs. Pasco, sio binti fulani wala ya yule mtoto asiye na jina!.
Tanganyika was an area with a Name Tanganyika. Now that name doesn't exist any more, kilichopo sasa ni Tanzania Bara, na eneo la ilipokuwa Tanganyika ndio eneo la Tanzania bara!.
Hivyo leo kumbukumbu ni ya uhuru wa Tanganyika, lakini maadhimisho na kusherehekea ni uhuru wa Tanzania Bara kwa kifupi Tanzania
Pasco.
Nawatakia sikukuu njema ya Uhuru na Jamhuri.
Paskali
Update;
Kiukweli humu jf, tuna vilaza wengi kuliko tunavyo jidhania!. Watu ni wazito kuelewa mpaka basi!.
Mkuu Mti wa Muwese, The Palm Tree , huu ndio uelewa wa baadhi ya Watanzania, wewe ukiwemo, halafu mkiambiwa ukweli mna uwezo finyu wa uelewa, mnakasirika.What's wrong with you Pascal Mayalla ..?
Kwa sbb iko very clear kuwa, tarehe 9/12 kila mwaka ni kumbukumbu ya Uhuru wa nchi inayoitwa TANGANYIKA na siyo TANZANIA maana hiyo haipo na haikuwepo mwaka 1961....!
Kwa kifupi hujaeleweka na sijui kama utaeleweka hata ukiendelea kujitetea...!!
You are absolutely right, kumbukumbu ni za uhuru wa nchi iliyokuwa Tanganyika, lakini maadhimisho ni maadhimisho ya uhuru wa Tanzania!.
Kuna mambo mawili.
1. Kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika.
2. Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania ambayo hapo zamani ilikuwa Tanganyika.
Sasa najaribu kukuelewesha kwa kutumia kiwango cha chekechea, usipoelewa sasa, utanisamehe bure.
Mfano,
- Kuna binti mmoja anaitwa Binti Mti wa Muwese, kila siku yake ya kuzaliwa anaisherehekea kama kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya Binti Mti wa Muwese.
- Kila akisherehekea siku hiyo, ni sherehe za kukumbuka ile siku yake ya kuzaliwa, na anayesherehekea siku hiyo ni Binti wa Muwese.
- Ikatokea mimi Pasco Mayalla, nimempenda Binti Mti wa Muwese, nikamuoa, akabadili jina sasa haitwi tena Binti Mti wa Muwese, sasa anaitwa Mrs. Pasco Mayalla na nyumbani anaitwa Mama Junior, maana kanizalia kidume kinaitwa Pasco Junior.
- Siku ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Binti Mti wa Muwese, ila sherehe ni ya Mama Junior.
- Kumbukumbu ni ya kile kilichofanyika wakati kikifanyika, ni kumbukumbu ya kuzaliwa kale kachanga kalikoitwa Binti Mti wa Muwese, lakini sherehe, yaa birthday party, sio party ya binti Mti, ni party ya Mama Junior (Mrs Pasco)
P.