weka pivha tuzione!Anaitajika mtu wa kusafisha dola nyeusi kma wewe una uwezo huo ni dm biashara ifanyike only kwa walio serious
Wataalam wanapatikana kny mashirika ya UN..Ila ninawajua wengi tu..njoo inbox tutete biashara..ila Mimi nitakuwa kama dalali tu...wakukutanisha na huyo mtu endapo nitaridhika pasi na shaka kuwa kweli wewe una uhitaji huo kweli..Anaitajika mtu wa kusafisha dola nyeusi kma wewe una uwezo huo ni dm biashara ifanyike only kwa walio serious
kumbe! sawa mkuu bado hujafanikisha kuzitakatisha?Mkuu izi ni nyara za UN huwezi zipublish ndugu wapo wanaozijua ivyo ni ngumu kuzipublish
duh, mkuu, kutakatisha fedha si kosa kisheria?kumbe! sawa mkuu bado hujafanikisha kuzitakatisha?
hahhahaha kwani mkuu kukitakasa kitu si kukifanya kisiwe na mawaa? sasa jamaa kasema anazo dola nyeusi na anataka anayeweza kuzisafisha/kuziondolea mawaa/kuzitakasa japo inaweza isihusiane na money launderingduh, mkuu, kutakatisha fedha si kosa kisheria?
unatapeliwa, kaa mbali na hiyo biashara. au wewe ndio unataka kutapeli watu?Anaitajika mtu wa kusafisha dola nyeusi kma wewe una uwezo huo ni dm biashara ifanyike only kwa walio serious
wewe pia ni tapeli. hakuna hii biasharaWataalam wanapatikana kny mashirika ya UN..Ila ninawajua wengi tu..njoo inbox tutete biashara..ila Mimi nitakuwa kama dalali tu...wakukutanisha na huyo mtu endapo nitaridhika pasi na shaka kuwa kweli wewe una uhitaji huo kweli..
nyaraka za UN utoe wapi ww chapati? fanyeni kazi na muache utapeli. mkizoea vya bure mara ya mwisho mnakuja kuliwaMkuu izi ni nyara za UN huwezi zipublish ndugu wapo wanaozijua ivyo ni ngumu kuzipublish